Kabachubya
Member
- Oct 6, 2009
- 87
- 10
Mambo vipi wadau? Mbwa wanauzwa pure Germany Shepherd tarehe 18, feb,2012 wanatimiza miezi miwili. Wamebaki watatu. Bei ni Tshs 300,000/= kwa mmoja. Kwa mawasiliano: 0717 123 464 0762 101 178
Nikikumbuka sera za ujamaa za Mwalimu Nyerere na jinsi zilivyotupiliwa mbali leo machozi yananitoka...Imagine,unanunua kitoto chambwa 300,000 huku kuna Mtanzania anakufa kijijini kwa vile tu hana 5000 ya kwenda hospitali,watoto wamefukuzwa shule kisa hawana 20000 ya ada na huo ndo mwisho wa Elimu yao,Watoto wanakufa kisa utapiamlo,hata fungu la dagaa la 200 hawawezi kulipata..Ee Mola tupe usawa.Bado hyo specie ya mbwa ukiinunua utumie walau 10,000 daily kukihudumia wakati mtanzania average anatumia 1500 kwa siku ikimaanisha kuna amabaye hata hiyo 100 hana kwa siku....Najua kila mtu anapata kwa jasho lake na ana haki ya kutumia atakavyo ila kama tungeamua wote wenye uwezo wasaidie wasio na uwezo basi wote tungeishi maisha bomba,This world could be a best place to be.Anyway,hku kijijini kwetu vitoto vya mbwa tunatoa bure,kama una nauli ya kufika njoo uchukue,hata hauhitaji kuwaandalia menu.Hawa wanatwanga masalia ya misosi yetu ukizubaa hata vinyesi wanakula...🙂
Nikikumbuka sera za ujamaa za Mwalimu Nyerere na jinsi zilivyotupiliwa mbali leo machozi yananitoka...Imagine,unanunua kitoto chambwa 300,000 huku kuna Mtanzania anakufa kijijini kwa vile tu hana 5000 ya kwenda hospitali,watoto wamefukuzwa shule kisa hawana 20000 ya ada na huo ndo mwisho wa Elimu yao,Watoto wanakufa kisa utapiamlo,hata fungu la dagaa la 200 hawawezi kulipata..Ee Mola tupe usawa.Bado hyo specie ya mbwa ukiinunua utumie walau 10,000 daily kukihudumia wakati mtanzania average anatumia 1500 kwa siku ikimaanisha kuna amabaye hata hiyo 100 hana kwa siku....Najua kila mtu anapata kwa jasho lake na ana haki ya kutumia atakavyo ila kama tungeamua wote wenye uwezo wasaidie wasio na uwezo basi wote tungeishi maisha bomba,This world could be a best place to be.Anyway,hku kijijini kwetu vitoto vya mbwa tunatoa bure,kama una nauli ya kufika njoo uchukue,hata hauhitaji kuwaandalia menu.Hawa wanatwanga masalia ya misosi yetu ukizubaa hata vinyesi wanakula...🙂
Nikikumbuka sera za ujamaa za Mwalimu Nyerere na jinsi zilivyotupiliwa mbali leo machozi yananitoka...Imagine,unanunua kitoto chambwa 300,000 huku kuna Mtanzania anakufa kijijini kwa vile tu hana 5000 ya kwenda hospitali,watoto wamefukuzwa shule kisa hawana 20000 ya ada na huo ndo mwisho wa Elimu yao,Watoto wanakufa kisa utapiamlo,hata fungu la dagaa la 200 hawawezi kulipata..Ee Mola tupe usawa.Bado hyo specie ya mbwa ukiinunua utumie walau 10,000 daily kukihudumia wakati mtanzania average anatumia 1500 kwa siku ikimaanisha kuna amabaye hata hiyo 100 hana kwa siku....Najua kila mtu anapata kwa jasho lake na ana haki ya kutumia atakavyo ila kama tungeamua wote wenye uwezo wasaidie wasio na uwezo basi wote tungeishi maisha bomba,This world could be a best place to be.Anyway,hku kijijini kwetu vitoto vya mbwa tunatoa bure,kama una nauli ya kufika njoo uchukue,hata hauhitaji kuwaandalia menu.Hawa wanatwanga masalia ya misosi yetu ukizubaa hata vinyesi wanakula...🙂