Papii kocha na babaake wamenitoa machozi

Papii kocha na babaake wamenitoa machozi

KIRIKIOU

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2014
Posts
241
Reaction score
57
JAMANI KUMBE LEO NI MAADHIMISHO YA SIKU YA MAGEREZA(MAGEREZA DAY) TAARIFA YA HABARI ITV, IMENITOA MACHOZ BAADA YA KUWAONA BABA NA MWANA WAKIPAFOM WIMBO WAO WA "SEAH"

EEe tuwaombee hawa wasanii Mungu awasaidie watoke. JAMANI JELA PASIKIENI TU...!
 
Nami namwomba Mungu sana awasamehe kwa kosa kubwa hilo. Waombe rehema ya Mungu na ifike siku wapate msamaha wa Rais. Ninaamini wameshajutia makosa yao na Mungu wetu anayesamehe hata dhambi za damu na kuzifanya nyeupe kama theluji na awasamehe. Shishabikii uzinzi au ubakaji ila wameshakiona cha mtemakuni.
 
nami namwomba mungu sana awasamehe kwa kosa kubwa hilo. Waombe rehema ya mungu na ifike siku wapate msamaha wa rais. Ninaamini wameshajutia makosa yao na mungu wetu anayesamehe hata dhambi za damu na kuzifanya nyeupe kama theluji na awasamehe. Shishabikii uzinzi au ubakaji ila wameshakiona cha mtemakuni.

ni kweli kabisa!! Hata mimi naamini wameshajutia
 
Mungu alisema samehe 7 x 70 kwa mateso waliyopata/wanayopata yanatosha,raisi ndio mwenye mamlaka ya mwisho, hatma yao ipo mikononi mwa raisi,inasikitisha.

nb:raisi kama taasisi na sio mtu.
 
Kama ni kweli walibaka na waendelee kunyia ndoo
Sipo tayari kuwaonea huruma wabakaji kisa ni maarufu tu!
Ila kama walionewa mungu awe mbele yao kwa maisha yao yote na kizazi chao.
 
Unajua kilimchowapeleka huko? Na why papii wakati kuna watanzania wengi tuu wanateseka huko, huwaombei hao?
 
Yote ni maisha tu..wapo watu wanalala na nguo wanamkaa uchi na wapo wanalala uchi wanaamka na suti...kesho mungu kaificha huwezi kujua itakuwa vipi
 
Back
Top Bottom