Papa Francis Adai "Hakuna Paradiso /Mbinguni

Kwa mtazamo wangu yupo sahihi, binafsi Sasa hivi nahitaji mwalimu mzuri wa kunifundisha Tena habari za shetani na mambo ya jehanam
 
[emoji1787] jaman
 
Haooo wazee wa kutunga stori wameshaanza[emoji16]
 
Narudia tena mwafrika din yako ya kweli ni mizimu yako hii din ilikuja ikaikuta mizimu hii din imekuja kwa maslai yao kwetu ili watutawale. Mizimu inamtambua mungu mmoja. Mizimu ni roho za baba zako na mama zako babu bibi na ndugu zakoo ukifa wao ndio wanakupokea narudia mizimu inatambua mungu din hizo zinapinga mizimu din hizo zinapingana wenyewe kwa wenyewe sababu ya maslai
 
2013 alisema juu ya Jehanamu


2018 akagusia suala la mbinguni, ndipo Vatcan wakatoka mbele kutetea ,kwamba "Papa alimaanisha hivi,,,,, hivo asieleweke vibaya".



Kwenye Intavyuu ya Leo hapo kwenye hiyo video, Papa anapinga uwepo wa mbingu.
Unaropoka tu....hv unajua 2013 pope alikua Nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…