Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
*CHEKI HII YA PANYA*
!
*Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi*
*Panya 1: *jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!*
*Panya 2* *Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa*
*kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa*
*RAT 3* *Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!*
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia
*Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa*
!
*Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi*
*Panya 1: *jamani mimi ni noma Wiki hii nimekula rat rat(sumu ya panya) mara tatu na sijadedi !!!*
*Panya 2* *Wewe unasema nini, mimi nimekula nyama ikiwa*
*kwa mtego mara 5 nasijawahi dakwa*
*RAT 3* *Mmemaliza? Mie hata sijui mnabishana nini? Mimi hii mimba niliyo nayo ni ya paka !!!*
.
.Panya WA 1 na 2 wakazimia
*Panya wa 3 huwa hapendi ujinga kabisa*