Panya road wavamia sherehe za mahafali Msongola

Panya road wavamia sherehe za mahafali Msongola

Hivi wanaume wa Dar mna nini cha kujivunia hasa? Yaani mahafali inatetemeshwa na watoto 20? Hata kama wakiwa na silaha za jadi haiwezekani sherehe nzima mtekwe mnyang'anywe simu zenu na nyie kweli mnazisalimisha kwa panya road, shame on you wanaume wa Dar!
Hey watch what your typing hujui situation iliokuwepo hapo so usilete comments zako mbovumbovu
 
Hivi awa panya road hawajadhibitiwa tu na police?

au mumewashindwa tuwatilie sumu wenyewe?
 
Hivi wanaume wa Dar mna nini cha kujivunia hasa? Yaani mahafali inatetemeshwa na watoto 20? Hata kama wakiwa na silaha za jadi haiwezekani sherehe nzima mtekwe mnyang'anywe simu zenu na nyie kweli mnazisalimisha kwa panya road, shame on you wanaume wa Dar!

[emoji23][emoji23][emoji23] uki comment ivi mwenyewe unajikuta shujaa enheeee..?nguvu za kwenye keyboard hizi aiseeee naona mkiona thread kama hizi ndio mnapata sehemu ya kupunguzia stress za kuishi mkoani.
 
wanaume wa dar mnakula chipsi yai tuu kama mademu. sasa matokeo yake ndo haya
 
Wanaume wa Dar mnajua kukuza makalio na kujiremba kama Dada zenu

Machalii wadogo hata harufu ya maziwa ya mama haijawaishia ndio wanaowazingua. .

Acheni hizo.... Huo ni ufala
 
Wanaume wa dar wakishajipulizia pafyumu ndio basi, yaani kabisa mnavamiwa na vitoto vinawasachi hadi simu na pochi zenu??? Ni halali yenu maana mmezidi kula kungu ndo maana uji uji sana.
 
Hivi wanaume wa Dar mna nini cha kujivunia hasa? Yaani mahafali inatetemeshwa na watoto 20? Hata kama wakiwa na silaha za jadi haiwezekani sherehe nzima mtekwe mnyang'anywe simu zenu na nyie kweli mnazisalimisha kwa panya road, shame on you wanaume wa Dar!
Shame on you too
 
Acheni masihara[emoji23] hv nan anapenda kuuguza majeraha?
 
Mimi nafikiri kuna haja ya serikali na jeshi la polisi kuliangalia jambo hili la panya road in a POSITIVE WAY..Hawa vijana nafikiri wana vipaji vya ukomando kwa ujasiri wanaounesha katika kufanya matokio yao.Hivyo basi jeshi la polisi linapowakamata badala ya kuwapeleka kwenye juvinile court..nadhani ingekuwa busara kuanzisha academi ya kulea na kuendeleza vijana kama hawa kwenye fani ya ukomando..na Mara wanapotimiza age of majority ya miaka 18. Basi wapelekwe jeshini moja kwa moja. Kuna watu watapingana na wazo langu..ndio nakubali!!! Lakini hata ukiwapeleka gerezani siku wakimaliza vifungo vyao bado watarudia asili yao, matokeo yake vibaka wanaongezeka mjini.Waswahili husema MWENYE ASILI HAACHI ASILI. Kwa kweli ni muda muafaka wa kutafuta Jeshi kulifikiria jambo hili kwa namna nyingine ambayo italeta faida kwa jeshi letu na kwa manufaa ya ulinzi na usalama kwa taifa. Ndiyo Tanzania inaweza kuwa nchi ya kwanza kutumia mbinu hii na siyo lazima iwe imeanzia ulaya na marekani. Tutumie vipaji walivyonavyo hawa vijana kwa faida zaidi kuliko kubaki kulalamika ohhoo panya road kila siku!!!
 
Back
Top Bottom