kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,140
Vijana wakihuni wapatao zaidi ya 20 wakiwa na silaha kama mapanga na visu wamevamia sherehe ya mahafali katika eneo la Msongola wilaya ya ilala Leo jioni majira ya saa kumi.
Wamefanikiwa kuwapora watu waliokuepo hapo simu zao na mikoba.
Wengi wa panya rodi hao ni watoto.
Mgambo aliyekuepo kama mlinzi wa sherehe hiyo akishirikiana na wananchi wamefanikiwa kumkamata mmoja kati ya vibaka hao na wengine wakifanikiwa kutoroka.
Chanzo: Ndugu yangu aliyekuwepo eneo la tukio.
Wamefanikiwa kuwapora watu waliokuepo hapo simu zao na mikoba.
Wengi wa panya rodi hao ni watoto.
Mgambo aliyekuepo kama mlinzi wa sherehe hiyo akishirikiana na wananchi wamefanikiwa kumkamata mmoja kati ya vibaka hao na wengine wakifanikiwa kutoroka.
Chanzo: Ndugu yangu aliyekuwepo eneo la tukio.