Panya Road warejea kwa kasi jijini Dar. Makonda umelala?

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,577
6,582
Leo wameichakaza Makumbusho na inaonekana trend itaendelea.

Wizi wa mchana kweupe wa kundi la vijana takribani 50 wakiwa na silaha za jadi unaonekana kulishinda Jeshi la Polisi jijini Dar.

Tukimbilie wapi?
 
PANYA.JPG


Baadhi ya panya road waliokamatwa kipindi cha Kova, sikui kama walifikishwa mahakamani

Panya road wapo kila sehemu, Mimi panya road wanaoniogopesha ni wale ambao wapo kwenye geti la JKT makao makuu pale Mlalakuwa Mikocheni. Haiwezekeni miezi 9 wameweka kambi pale daraja la Mlalakuwa kama unaenda Kawe, na wasifanywe chochote. Wale JKT sijui wapoje! Kila siku watu wanaibiwa na wanalalamika lakini Jeshi linakaa kimya kwamba ni kazi ya Polisi. Polisi wenyewe wanashinda pale wakikamata bodaboda na bajaj huku watu wanalizwa. Serikali itusaidie.

Mitaani siku hizi Panya ndo wanatawala. Baada ya Kova kuondoka walishangilia balaa. Mia
 
Makonda mambo yamemzidi Ombaomba wamerudi, Panya road ndio hao, walimu wanataka kupanda bure mwendokasi , fly over Ubungo watu wanalala Na kunya, kituo mwendokasi kivukoni watu wamehania wanalala, uchafu dar ndio makao makuu Masikini Makonda Jiji gumu hili
 
Kawe darajani wizi ulianza toka enzi za RC Ditopile( R.I.P) kazi ya kuwakamata vibaka na majizi siyo ya JKT Bali polisi nashauri waweke doria asa jioni mpaka saa moja asubuhi hii itaokoa raia na Mali zao.
 
View attachment 353676

Baadhi ya panya road waliokamatwa kipindi cha Kova, sikui kama walifikishwa mahakamani

Panya road wapo kila sehemu, Mimi panya road wanaoniogopesha ni wale ambao wapo kwenye geti la JKT makao makuu pale Mlalakuwa Mikocheni. Haiwezekeni miezi 9 wameweka kambi pale daraja la Mlalakuwa kama unaenda Kawe, na wasifanywe chochote. Wale JKT sijui wapoje! Kila siku watu wanaibiwa na wanalalamika lakini Jeshi linakaa kimya kwamba ni kazi ya Polisi. Polisi wenyewe wanashinda pale wakikamata bodaboda na bajaj huku watu wanalizwa. Serikali itusaidie.

Mitaani siku hizi Panya ndo wanatawala. Baada ya Kova kuondoka walishangilia balaa. Mia

Kuna video moja paka mkubwa anamkimbia panya mdogo.... Nimejaribu tu kulinganisha
 
Kwa zama hizi za Magu akiendelea kubana itabidi tu tumpate mzungu vinginevyo tutaibiwa kweupe
Itabidi paaaa ihusike mapemaaaa

Tanganyika Arms am soon visiting you
 
Wanaume wa Dar mnalilia ninyi wenyewe mnakimbizwa na panya road tena mwenye panga tu, manati zenu za kizungu zafanya kazi gani kama si kuvunja miguu za hao wahuni ama ninyi mwazitumia kutisha wenzenu baa. Komaeni nae msikimbie bita ni bita muraaaa.
 
Hivi HAWA akibomolewa mmoja ubongo live mbele ya wenzie hawata koma kweli?
Mie naona iwe hivyo
 
Tuko buzy kwanza na mapango ya Amboni hao panya road zibeni matundu yao na mikate hawatatoka over
 
kwa nn ung'ang'anie dar wakati huna kazi maaalum ya kukuweka DAR ? ili hali mikoa mingi ina RUTUBA ya kukuwezesha ww kupata ENEO ukaanzisha KILIMO chenye TIJA . Ukiona MAMBO magumu HAMISHA kambi.
 
WA DAR NI JANGA LA TAIFA aka VILAZA
Hivi hizo Silaha mlizopewa zanini?
Yaani kila mtaa almost kuna mtu mmoja anamili Silaha ya Moto Bunduki.
Utashangaa anakimbia na bunduki yake kiuoni na kukimbizwa na mtu mweye Kisu.
Aisee nyie wa DAR ni Janga la Taifa,yaani vitoto hivyo vinawapa shida namna hii.Subirini sasa vianze kubaka ndio mtajua


Yaani mie ninachuma Kiunoni halafu kinakuja na Panga,aisee navilamba risasi miguuni
Hao watoto wanajua kabisa kwamba udhaifu wa Vijana wa Dar upo wapi,na ikiwa ajira rasmi basi watatoka mikoani kibaoo kuja kupiga Dili kwa kutumia Panya Road Brand.
Hembu kazaneni nyie wa DAR,hivi kwanini mnafikiria Arusha Jiji la Kitalii pesa Nje nje ujinga huu hakuna?Maana kuna watu wamepinda,ukizingua anakupa cha moto hapo hapo.
Ila Dar unashangaa mtu anasilaha halafu eti kazi yake kuonyesha Madem tuu ili wamuone na yeye anamiliki Silaha,akitokea Panya road mbiooo
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom