Kama aliyekuwa anawatisha panya road alikuwa Kova anayetakiwa kulalamikiwa siyo Makonda bali ni Sirro.Makonda mambo yamemzidi Ombaomba wamerudi, Panya road ndio hao, walimu wanataka kupanda bure mwendokasi , fly over Ubungo watu wanalala Na kunya, kituo mwendokasi kivukoni watu wamehania wanalala, uchafu dar ndio makao makuu Masikini Makonda Jiji gumu hili