Kweli ffu walivyo na makeke wamefail kuwahandle
Every time nikiona thread ya panya road, watoto wa mbwa n.k huwa natoa wito kwa serikali iwachukue vijana wote wanaozagaa mijini iwapeleke JKT, wakalime. Baada ya miaka mitano, inawaachia wachache wache na kuwapa vinua migongo vyao waanze miradi ya uzalishaji. Hao vijana ndo wale wanaitwa 'bomu linalo subiri kulipuka' na hivyo ni bora wakafunzwa uzalendo ili wasilipuke kama wanavyoanza kuonyesha dalili.Hivi kamanda Gewe,Ntobi,Tosi wako wapi watunusuru na hawa panya road