Nilikuwa napita kwenye uchochoro mara nikasikia jamaa anamwambia binti panua.Nikasimama pembeni ya dirisha ilinipate kwa ukamilifu kinachoendelea.
Jamaa: panua
Binti : naogopa
Jamaa: panua nakuahidi haitauma.
Binti:naogopa damu itatoka nyingi.
Jamaa😛anua unanipotezea muda kuna wengine wanasubiri.
Binti: haya fanya haraka
Jamaa:Kwani ndio mara yako ya kwanza kung'oa jino.
Ikabidi niendelee na safari yangu baada ya kusonya walinipandisha hanjamu kumbe ni daktari wa meno.Mpaka leo nalaani madaktari wa uchochoroni.
Jamaa: panua
Binti : naogopa
Jamaa: panua nakuahidi haitauma.
Binti:naogopa damu itatoka nyingi.
Jamaa😛anua unanipotezea muda kuna wengine wanasubiri.
Binti: haya fanya haraka
Jamaa:Kwani ndio mara yako ya kwanza kung'oa jino.
Ikabidi niendelee na safari yangu baada ya kusonya walinipandisha hanjamu kumbe ni daktari wa meno.Mpaka leo nalaani madaktari wa uchochoroni.