panda twende mjini

panda twende mjini

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,677
Reaction score
59,172
RATIONNEL-SELON-LES-EUROPEENS.png

mia
 
Kua uyaone siyo maghorofa bali ni mambo kam haya na ndio faida ya kuishi kwingi. Ila hizi gari nazionaga Lushoto zinaelekea Bumbuli kwa Makamba.
 
DUh hii ni hatari kwelikweli hapo dereva akifanya kosa kidogo ni unakuwa ule msemo wetu wa kwenye mazishi kwamba,kazi ya mungu haina makosa!
 
usiogope bcoz problems ar not put on our way to stop us bt to bring out our courage and strength. so mi siogopi
 
Natoka kwetu mahenge, jiulize ule mzigo wa mwisho waliupandishaje? Mia
 
dereva kala kishoka hana wasiwasi.
nyie mlioko bush ninayo saloon yake mwenye kutaka kujikomboa anipm.
 
baba mia unatisha kinyama mzee..! hii umeipata wapi..? ni bongo hii..? manake hata namba ya gari siioni..? vipi ni bongo hii mkuu..?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom