Pamoja na ukatili wote huu, bado kuna wasaka vyeo wenye moyo wa kusifu na kupiga makofi!!

Huo moyo wa kusifu na kupongeza wenzetu siju mnaupata wapi!!!
Kwanza sio kila anayesifu na kupongeza ni
msaka vyeo.

Pili watu wote ambao ni wakweli, wenye truthful and objectivity watauona ukweli jinsi ulivyo, na watausema ukweli halisi uliopo, kwenye mazuri watasifu na kupongeza, kwenye maovu watalaani, kwenye mabaya watakosoa na kwenye mapungufu watashauri.

Hata shetani japo ni mbaya kabisa, na alimuasi Mungu, sii wengi wanajua kuwa shetani huwa anazungumza na Mungu, na japo mipango mingi ya shetani ni uovu, kupitia uovu huo, pia ana mazuri yake. Mfano wa kwanza ni fumbo la uumbaji na ile dhambi ya asili.

Fumbo la uumbaji na dhambi ya asili ni mfano mzuri wa mazuri ya shetani ni kusababisha ile dhambi ya asili ya kumshawishi mama yetu Eva kutoa lile tunda likamwengwa, hivyo kila binadamu ili azaliwe ni lazima kwanza ile dhambi ya asili itendeke, mtu pekee aliyezaliwa bila ya dhambi ya asili kutendeka, ni Bwana wetu Yesu Kristo baada ya Bikira Maria ndie mwanamke pekee hapa duniani, aliyekingiwa dhambi ya asili, hivyo akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na sio kwa lile tendo.

Kazi ya shetani haikushia hapo, shetani alimjaribu Yesu, kusalitiwa kwa Yesu ni kazi ya shetani, kuteswa hadi kufa msalabani ni kazi ya shetani, lakini ni kwa kuteswa kwake sisi tuliponywa,

Hivyo ni ukweli dhahir Shahir, pamoja na meingine yote, kuna mazuri yanayofanyika ambayo yanastahili sifa, pongezi na kuungwa mkono.

Kuna watu macho yao ni uni directional, wao wanaona side au upande mmoja tuu wa shilingi, ule upande wa mabaya, mapungufu tuu na makosa, lakini upande wa pili was shilingi, ule upande wa mazuri, mema, mafanikio, wao hawaoni.

Sasa mtu mkweli na objective kama mimi ninaangazia pande zote objectively kwenye mazuri napongeza, kwenye mabaya nakosoa.

P.
 
Kwanza sio kila anayesifu na kupongeza ni
msaka vyeo.

Pili watu wote ambao ni wakweli, wenye truthful and objectivity watauona ukweli jinsi ulivyo, na watausema ukweli halisi uliopo, kwenye mazuri watasifu na kupongeza, kwenye maovu watalaani, kwenye mabaya watakosoa na kwenye mapungufu watashauri.

Hata shetani japo ni mbaya kabisa, pia ana mazuri yake. Mfano mzuri wa mazuri ya shetani ni kusababisha ile dhambi ya asili ya kumshawishi mama yetu Eva kutoa lile tunda likamwengwa, hivyo kila binadamu ili azaliwe ni lazima kwanza ile dhambi ya asili itendeke, mtu pekee aliyezaliwa bila ya dhambi ya asili kutendeka, ni Bwana wetu Yesu Kristo baada ya Bikira Maria ndie mwanamke pekee hapa duniani, aliyekingiwa dhambi ya asili, hivyo akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na sio kwa lile tendo.

Hivyo ni ukweli dhahir Shahir, pamoja na meingine yote, kuna mazuri yanayofanyika ambayo yanastahili sifa, pongezi na kuungwa mkono.

Kuna watu macho yao ni uni directional, wao wanaona side au upande mmoja tuu wa shilingi, ule upande wa mabaya, mapungufu tuu na makosa, lakini upande wa pili was shilingi, ule upande wa mazuri, mema, mafanikio, wao hawaoni.

Sasa mtu mkweli na objective kama mimi ninaangazia pande zote objectively kwenye mazuri napongeza, kwenye mabaya nakosoa.

P.
We jamaa siku hizi hueleweki..huo ndo ukweli
 
Kwanza sio kila anayesifu na kupongeza ni
msaka vyeo.

Pili watu wote ambao ni wakweli, wenye truthful and objectivity watauona ukweli jinsi ulivyo, na watausema ukweli halisi uliopo, kwenye mazuri watasifu na kupongeza, kwenye maovu watalaani, kwenye mabaya watakosoa na kwenye mapungufu watashauri.

Hata shetani japo ni mbaya kabisa, pia ana mazuri yake. Mfano mzuri wa mazuri ya shetani ni kusababisha ile dhambi ya asili ya kumshawishi mama yetu Eva kutoa lile tunda likamwengwa, hivyo kila binadamu ili azaliwe ni lazima kwanza ile dhambi ya asili itendeke, mtu pekee aliyezaliwa bila ya dhambi ya asili kutendeka, ni Bwana wetu Yesu Kristo baada ya Bikira Maria ndie mwanamke pekee hapa duniani, aliyekingiwa dhambi ya asili, hivyo akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na sio kwa lile tendo.

Hivyo ni ukweli dhahir Shahir, pamoja na meingine yote, kuna mazuri yanayofanyika ambayo yanastahili sifa, pongezi na kuungwa mkono.

Kuna watu macho yao ni uni directional, wao wanaona side au upande mmoja tuu wa shilingi, ule upande wa mabaya, mapungufu tuu na makosa, lakini upande wa pili was shilingi, ule upande wa mazuri, mema, mafanikio, wao hawaoni.

Sasa mtu mkweli na objective kama mimi ninaangazia pande zote objectively kwenye mazuri napongeza, kwenye mabaya nakosoa.

P.
..we jamaa tatzo hueleweki siku hzi..
 
Kwanza sio kila anayesifu na kupongeza ni
msaka vyeo.

Pili watu wote ambao ni wakweli, wenye truthful and objectivity watauona ukweli jinsi ulivyo, na watausema ukweli halisi uliopo, kwenye mazuri watasifu na kupongeza, kwenye maovu watalaani, kwenye mabaya watakosoa na kwenye mapungufu watashauri.

Hata shetani japo ni mbaya kabisa, pia ana mazuri yake. Mfano mzuri wa mazuri ya shetani ni kusababisha ile dhambi ya asili ya kumshawishi mama yetu Eva kutoa lile tunda likamwengwa, hivyo kila binadamu ili azaliwe ni lazima kwanza ile dhambi ya asili itendeke, mtu pekee aliyezaliwa bila ya dhambi ya asili kutendeka, ni Bwana wetu Yesu Kristo baada ya Bikira Maria ndie mwanamke pekee hapa duniani, aliyekingiwa dhambi ya asili, hivyo akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na sio kwa lile tendo.

Hivyo ni ukweli dhahir Shahir, pamoja na meingine yote, kuna mazuri yanayofanyika ambayo yanastahili sifa, pongezi na kuungwa mkono.

Kuna watu macho yao ni uni directional, wao wanaona side au upande mmoja tuu wa shilingi, ule upande wa mabaya, mapungufu tuu na makosa, lakini upande wa pili was shilingi, ule upande wa mazuri, mema, mafanikio, wao hawaoni.

Sasa mtu mkweli na objective kama mimi ninaangazia pande zote objectively kwenye mazuri napongeza, kwenye mabaya nakosoa.

P.
Mkuu yaani leo unamsifia shetani kwa kutenda dhambi ya asili kwamba bila shetani watu wasingezaana? Yaani Mungu aliposema nendeni mkaijaze Dunia hakuwa na mpango wake? Mkuu nenda katubu leo kanisani tena umweleze Padri kwamba umemtukuza shetani na mambo yake hivyo unatubu!
 
Ndiyo maana polisi wakipatwa na majanga huwa tunafurahia, police wetu za kuambiwa hawachanganyi na zakwao na siku hizi wameanza kuhudhuria na vikao vya ccm kabisa.
 
Wakati huo huo umoja wa wanawake UWT wa CCM,mkoa wa kigoma walikua na sherehe ya kumpongeza Mh rais
Mgeni rasmi akiwa Mh Watiri Mkuu
Mkutano ulifanyika salama na amani,pia kulikua na watu walirudisha kadi za ACT na za CDM
hapo ndio ujue nchi hii upinzani ni hakuna
 
Mohd Seif Khatibu aliwahi kuundika kitabu alichokipa jina la WASAKA TONGE
Kisome icho kitabu uliujijue position uliyokuwepo Mkuu.
Kwanza sio kila anayesifu na kupongeza ni
msaka vyeo.

Pili watu wote ambao ni wakweli, wenye truthful and objectivity watauona ukweli jinsi ulivyo, na watausema ukweli halisi uliopo, kwenye mazuri watasifu na kupongeza, kwenye maovu watalaani, kwenye mabaya watakosoa na kwenye mapungufu watashauri.

Hata shetani japo ni mbaya kabisa, pia ana mazuri yake. Mfano mzuri wa mazuri ya shetani ni kusababisha ile dhambi ya asili ya kumshawishi mama yetu Eva kutoa lile tunda likamwengwa, hivyo kila binadamu ili azaliwe ni lazima kwanza ile dhambi ya asili itendeke, mtu pekee aliyezaliwa bila ya dhambi ya asili kutendeka, ni Bwana wetu Yesu Kristo baada ya Bikira Maria ndie mwanamke pekee hapa duniani, aliyekingiwa dhambi ya asili, hivyo akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na sio kwa lile tendo.

Hivyo ni ukweli dhahir Shahir, pamoja na meingine yote, kuna mazuri yanayofanyika ambayo yanastahili sifa, pongezi na kuungwa mkono.

Kuna watu macho yao ni uni directional, wao wanaona side au upande mmoja tuu wa shilingi, ule upande wa mabaya, mapungufu tuu na makosa, lakini upande wa pili was shilingi, ule upande wa mazuri, mema, mafanikio, wao hawaoni.

Sasa mtu mkweli na objective kama mimi ninaangazia pande zote objectively kwenye mazuri napongeza, kwenye mabaya nakosoa.

P.
 
Kwanza sio kila anayesifu na kupongeza ni
msaka vyeo.

Pili watu wote ambao ni wakweli, wenye truthful and objectivity watauona ukweli jinsi ulivyo, na watausema ukweli halisi uliopo, kwenye mazuri watasifu na kupongeza, kwenye maovu watalaani, kwenye mabaya watakosoa na kwenye mapungufu watashauri.

Hata shetani japo ni mbaya kabisa, pia ana mazuri yake. Mfano mzuri wa mazuri ya shetani ni kusababisha ile dhambi ya asili ya kumshawishi mama yetu Eva kutoa lile tunda likamwengwa, hivyo kila binadamu ili azaliwe ni lazima kwanza ile dhambi ya asili itendeke, mtu pekee aliyezaliwa bila ya dhambi ya asili kutendeka, ni Bwana wetu Yesu Kristo baada ya Bikira Maria ndie mwanamke pekee hapa duniani, aliyekingiwa dhambi ya asili, hivyo akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na sio kwa lile tendo.

Hivyo ni ukweli dhahir Shahir, pamoja na meingine yote, kuna mazuri yanayofanyika ambayo yanastahili sifa, pongezi na kuungwa mkono.

Kuna watu macho yao ni uni directional, wao wanaona side au upande mmoja tuu wa shilingi, ule upande wa mabaya, mapungufu tuu na makosa, lakini upande wa pili was shilingi, ule upande wa mazuri, mema, mafanikio, wao hawaoni.

Sasa mtu mkweli na objective kama mimi ninaangazia pande zote objectively kwenye mazuri napongeza, kwenye mabaya nakosoa.

P.
Mayalla unaogopa kutekwa! Kajinga! Huyu Mzee bure kabisa, kama kuna mazuri anayofanya mengi yanafunikwa na uovu! Mimi nimpongeze kwa mile anachokifanya kule Chatco!
 
Kwanza sio kila anayesifu na kupongeza ni
msaka vyeo.

Pili watu wote ambao ni wakweli, wenye truthful and objectivity watauona ukweli jinsi ulivyo, na watausema ukweli halisi uliopo, kwenye mazuri watasifu na kupongeza, kwenye maovu watalaani, kwenye mabaya watakosoa na kwenye mapungufu watashauri.

Hata shetani japo ni mbaya kabisa, pia ana mazuri yake. Mfano mzuri wa mazuri ya shetani ni kusababisha ile dhambi ya asili ya kumshawishi mama yetu Eva kutoa lile tunda likamwengwa, hivyo kila binadamu ili azaliwe ni lazima kwanza ile dhambi ya asili itendeke, mtu pekee aliyezaliwa bila ya dhambi ya asili kutendeka, ni Bwana wetu Yesu Kristo baada ya Bikira Maria ndie mwanamke pekee hapa duniani, aliyekingiwa dhambi ya asili, hivyo akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu na sio kwa lile tendo.

Hivyo ni ukweli dhahir Shahir, pamoja na meingine yote, kuna mazuri yanayofanyika ambayo yanastahili sifa, pongezi na kuungwa mkono.

Kuna watu macho yao ni uni directional, wao wanaona side au upande mmoja tuu wa shilingi, ule upande wa mabaya, mapungufu tuu na makosa, lakini upande wa pili was shilingi, ule upande wa mazuri, mema, mafanikio, wao hawaoni.

Sasa mtu mkweli na objective kama mimi ninaangazia pande zote objectively kwenye mazuri napongeza, kwenye mabaya nakosoa.

P.
Pascal acha uongo dhahiri. Kwa hiyo unamaanisha kuwa dhambi ya asili ni kufanya sex na ndicho shetani alikileta? Kama ni hivyo kwa nini Mungu aliviumba viungo vya uzazi? Kwa nini Mungu aliwabariki Adam na Hawa wazae waijaze nchi kabla ya kula tunda? Wangezaaje? Ukweli na objectivity ya mtu unapimwa na watu na sio mwenyewe. Kama watu wanakuona umepoteza objectivity, hata ukijisemaje ndio watakuchukulia hivyo.
 
Back
Top Bottom