Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Chenge kila dili linalohusisha fedha lazima awepo kama bado ni kijana, atakapokuwa mtu mzima atakuwa very rich.
 
Pasco
narudia tena na tena Wtz wengi ni vichwa vya wendawazimu,
1.msikilize Kafulila anashauri suala hili la IPTL lishughulikiwe na Mahkama ya London yaani tumekuwa kama watoto walioshindwa kusimama kwa miguu yao wenyewe.
2.Hivi kweli Pasco Watanzania tunauwezo hata wa kuwaza KUITAWA LA DUNIA au AFRICA au E.AFRICA kwa hali kama tunayoiona kwa wabunge wetu?.
3.Mwisho niseme kwamba USIMBA NA UYANGA unaenda kuimaliza hii nchi.
 
Last edited by a moderator:
Chenge ni finest mwizi wa hela za watanzania na kuna baadhi wa wabunge wa ccm wananufaika kwa kupitia kujua kwake sheria hivyo wamekuwa wakiliingiza taifa hili katika majanga makubwa yenye kulitia hasara ya mabilioni ya fedha. Period.
 
Pasco wa JF anatumia art ya taaluma yake katika kufikisha ujumbe na katika kujipatia kipato chake , sasa hapa ni bidi kilamoja wetu utumie akili za kuambiwa changanya na zako . Kuhusu Chenge ni kweli pendekezo la Jana Lilikuwa reasonable kwani piga ua mwenye uamuzi ni Raisi , lakini kutokana na background au Chama anachotoka Watu wakaamua kumpinga tu. Kuhusu kuwa the brain it is true tatizo alipoanza self actualisation alikuwa ktk utawala wa wevi hivyo wakatumia utaalamu wake vibaya naye akakubali kutumika
 
Kutofautiana kimawazo na kimtazamo ni jambo la kawaida. Duniani watu wote tungekuwa namna moja kusingekuwa na maendeleo yoyote. Ndiyo maana mungu akatupa uwezo tofauti kila mmoja, huyu uwezo wa lugha, huyu wa sheria , huyu wa ufundi, huyu hiki au kile. Lakini Pasco kutofautia na wewe sio jambo la ajabu na wala haina maana kuwa uwezo wake wa kufikiri ni hafifu. Hata katika hoja inapotolewa na mbunge mmoja mwingine huiboresha, mwingine huponda ndiyo dunia.
Binafsi namuona Pasco kama mtu huru kimawazo. Hutoa mawazo kama anavyofiri yeye sio kama unavyofikri wewe au kikundi chochote cha watu. Hoja ikiwa nzuri kwa CCM atasimamia hivyo, kama CHADEMA basi atasimamia hivyo bila kujali nani atasema nini. Huu ni uhuru wa kweli wa mawazo ambao watanzania wengi hawana. Wengi hufungwa na mawazo ya makundi ya au ya wakubwa wao au na fitina zao binafsi.
Habari wanabodi....kwanza nianze kwa kusema kwa mara ya kwanza nichangie hoja ya Pasco wa JF kama anavyojiita. Napata shida sana na uwezo wa kufikiri wa huyu jamaa, sijui mtazamo wake juu ya hoja zinazozingatia uhalisia uko wap. Naomba nikiri wazi kila ninaposoma maandiko yake natofautiana nae absolutely na jinsi ninavyofikiria jambo husika na nahisi watu wengi hutofautiana nae pia, kwa mfano, suala la chenge na mchango wake wa kutetea wezi wengine...huyu pasco anaweza kuona kuwa ni best brain...shame!!!!.labda niseme tu kinachokubeba na kinachokupa ujasiri wakuandika humu jukwaani ni ukongwe wako na umaarufu na sio sensible contents...ukisoma hoja za mtu kama Nguruvi, unasoma sensible contents in every line that you read, sio hizi porojo na kejeli za pasco. Natoa rai, kama pasco ungeandika onetl just onethird ya Nguruvi ningekuona wa maana...other wise niseme tu Pasco ni mwepesi sana na commets zako ni non-sense
 
Pasco, you are one irritating, idiotic, shameless rabble rouser and attention seeker! Your threads are devoid of intellectual substance and full of c r a p! Only positive thing about you is you are not pretentious.
 
Wanabodi,

Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda maneno makali kama haya, yatasaidia, to change for the better!.

We are ignorants, na wabunge wetu ni ignorants!.

Mnyonge Mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, ni one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuati wengi wa wabunge wetu ni ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, Pasco wa jf ni ignorant, na anajijua ni ignorant, ndio maana ana comment ignorance kwenye public ya jf ili kila mtu ajue Pasco ni ignorant!.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ignorants ila hawajajijua kuwa ni ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa they are ignorants!, ili angalau sasa watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya enero gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paster "para materiale" (neno kwa neno) kutoka India, simpy because hatuna legal drafting people mule bungeni!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best!, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants, ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ignorants, tunashangilia ile ignorance!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.

Pasco

Unadanganya umma kwa kusema sababu ya kuwa na statutes ambazo ni "pari materia"ni kwa sababu ya kukosa watu wa kudraft, huu ni ujinga uliopindukia! Katika sababu nyingi za kuwa na statutes pari materia hiyo ya kwako si mojawapo.

Sisi tunatumia "Common law system ",mfumo ambao umejengeka katika misingi ya sheria zenye asili na mtindo wa uingereza.Katika mfumo huo na kwasababu mkoloni aliyetawala Tanganyika ni mwingereza tulipokea sheria za kiingereza kupitia "Receiving clause"kwa kupitia THE JUDICATURE AND APPLICATION OF LAW ORDINANCE.Kwa kupitia sheria hii serikali ya kikoloni ilipokea Sheria zilizoingizwa India na serikali ya kikoloni kuja kutumika Tanganyika.

Sasa nashangazwa na pointi yako eti tunatumia statutes ambazo pari materia eti kwasababu hatuna wataalamu wa kudraft sheria.Huu ni uzembe wakufikiri,unataka kuniambai sheria zote tulizotunga baada ya uhuru nani amedraft?Kama hujui kitu siyo lazima useme.

don xxx
 
Chenge ametumia taaluma yake kwa kuwaibia watanzania na kuibia nchi kiujumla. Kama ni ignorant chenge ni zaidi ya ignorant.
 
Sheria nyingi za former colonies za uingereza zilichikuliwa. Toka India na majaji wengi wa mwanzo wa tz walisomea India
 
Pasco umepatwa na nini nowadays Brother. Naumia sana mtu ambaye ninakua namheshimu anapofanya mzaha kwenye mambo ya msingi...that was a well organised game. Labda umchukuliea kwa upande huo kuwa walijipanga vyema ila sio kutoa point. Aliyoyaongea mtu yoyote angeweza kuyasema. Hayana u-professional wowote.

Mkuu Elli wewe una tafsiri gani zaidi ya Pasco?

Maana anachokisema ndiyo ukweli wenyewe...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Elli wewe una tafsiri gani zaidi ya Pasco?

Maana anachokisema ndiyo ukweli wenyewe...

Mimi naamini kuwa when it comes to national interest tusijenge mazingira yoyote yale ya kulindana, hatuna maisha mengine ya kuwaachia watoto wetu zaidi ya haya tunayoyaharibu sasa hivi. Kumbuka hizi statements ambazo ni complicated zinakua na Athari kubwa sana kwa wale ambao hawatatumia muda wa kujiuliza mara mbili mbili juu ya maudhui.

Mimi naamini kuwa si wakati wa kuanza Ushindani wa kujua, kama tuna mashaka na mtu akae kando maana statement yoyote Ile kwa mazingira yoyote yale yanalenga kumlinda yeye binafsi...
 
Last edited by a moderator:
Mwizi mkubwa anabebwa na wezi wenzake ,
Kuna brave soldiers bungeni, zito, tumbiri, mbowe, mnyika, nchemba salute to them, hilo jizi lako tupa kule
 
THANK YOU! Mkuu Earthmover

s_1.jpg
 
Last edited by a moderator:
Chenge is genious:
1. Formality za kisheria tz zina Mkono wa Mtemi.
2. Historia fupi inaonesha skendo zote zinazomuhusu Mtemi huwa zinayeyuka hewani.
3. Mboreshaji katiba ya JMT ya 1977 sambamba na hilo ndio muandishi bora wa Katiba pendwa itakayopitishwa na watz siku chache zijazo.

Haa..haa..haa kwa hayo matatu na mengine mengi unayoyajua wewe mpashie Mtemi..... pasha.... pasha...... pasha makofi matatu kwa Mtemi 1..... 2...... 3 👏👏👏
 
Back
Top Bottom