Alilifanyia nini taifa letu kwenye upande wa kukuza uchumi na kutokomeza umaskini?JK alisafiri kila leo, Alijenga Shule nyingi za Kata, Aliajiri Watumishi wengi kila mwaka, alipandisha Mishahara na pia alilipa hadi Watumishi hewa bila TOZO, Kitaa Maisha yalikuwa mazuri dola 1 ilikuwa 1,600 tu.
View attachment 2342821
Kwani wewe ni kipofu au mjinga?Alili fanyia nini taifa letu kwenye upande wa kukuza uchumi na kutokomeza umaskini ?
Hilo ndilo jibu la swali?Kwani wewe ni kipofu au mjinga?
agombee tena na lowassa awemo, tubadili katiba. hawa wa siku hizi tunaona chengachenga mnoJK alisafiri kila leo, Alijenga Shule nyingi za Kata, Aliajiri Watumishi wengi kila mwaka, alipandisha Mishahara na pia alilipa hadi Watumishi hewa bila TOZO, Kitaa Maisha yalikuwa mazuri dola 1 ilikuwa 1,600 tu.
View attachment 2342821
Swali la mkapa alibinafsisha mambo nchi ikiwa na wananchi wote hawana elimuAlilifanyia nini taifa letu kwenye upande wa kukuza uchumi na kutokomeza umaskini?