imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,039
Sisi mbona Sukari tunawabembeleza Waganda tukijifanya kuwapelekea maradhi majirani zetu eti kwa sababu sisi ati tuna chakula wewnzetu wanajali afya zaoMizigo ya Rwanda hata sasa ni kiasi kidogo sana. Wakiamua kutumia port ya Mombasa effects zake kwa TZ ni almost negligible.
Swali, kwanini sasa wasichukue chakula huko Kenya na Uganda?