Pamoja na makubaliano ya awali, ngoma bado nzito! Madereva wa Tanzania wamegoma kupeleka mizigo Rwanda

Kwa hiyo unafikiri Kagame ni mjinga?
Mi sijasema popote kuwa jamaa Ni mjinga , hayo unasema wewe , ninachojadili na wewe Ni uhalisia wa gharama za Rwanda kushusha mzigo Mombasa then usafirishwe Hadi naivasha kwa sgr , then aubebe kwa trucks Hadi malaba Uganda then Kigali! Halafu iwe ni rahisi kwake ? Nakataa

Dar port bado ni chaguo rahisi kwake kwa sasa , by the way Kama trend itaendekea kwa mwezi tu , Rwanda atafunga kiwanda cha Cimerwa mana kinategemea coal supply kutoka southern Tanzania kwa kiasi kikubwa.

Sent
 
Hakuna compromise kweye road toll mkuu, popote duniani.
Kumbuka nchi zenye sea port zinafanya kazi kiushindani kwa mfano Djibouti na Sudan
So far najua atatumia naivasha dry port
Kagame si mjinga wa kutumia corridor ghali na kuacha rahisi lazima kuna mazungumzo nyuma ya pazia ninavyofikiria
Sidhani Kama kagame amejenga dry port yake
Kama ilivyo Dryport ya Isaka isingekuja kufunguliwa na Habyarimana
Ila sijui mchango wake kwenye hilo
 
Kama trend itaendekea kwa mwezi tu , Rwanda atafunga kiwanda cha Cimerwa mana kinategemea coal supply kutoka southern Tanzania
Hivi cimerwa zamani ilkuwa inategemea fuel kutoka wapi
Mimi nimeshawahi kupeleka mafuta Cimerwa Cyangugu miaka hiyo walikuwa wanatumia oil kabla ya kuanza kutumia makaa ya mawe huko songea

Kwa sasa huenda wakarudi kwenye oil kwa sababu mafuta yameshuka sana huo ni mtizamo tu
 
Kwa free ride aliyowapa magufuli kwa Rwanda kukumbuka kurudi Mombasa Ni ndoto,
Jamaa hapa wamepewa unafuu Sana , sidhani kama kuna jirani ana nafasi kama, rwanda, Kwanza nafuu yao ipo kwenye road toll, jamaa wanalipa be dola 163 tu kutoka rusumo hadi dar to rusumo
Pili jamaa wanapiga pia route za humu kwa humu ,kitu ambacho huwezi kufanya ukiwa Rwanda au kokote kule.
Hapo alipokazia Rwanda ndipo na sisi pa kutokea na kuweka sheria zetu ili tuondoe mzizi wa fitna

Sent
Unadhani wamepewa free ride for nothing?

Population ya hicho ki-Rwanda12mil) + Congo Mashariki(30mil) ni almost 40mil kote huko kunahudumiwa na bandari ya dar.

Uganda alibaniwa kupitia Rwanda ili kupeleka bidhaa zake huko Congo ndani ya miezi 3 tu alikua amepata hasara ya Tsh.bil 700 huku Rwanda ikipata hasara ya Tsh.bil 100,mpk sasa hivi hasara kwa uganda itakua ni Tsh.Trillion huko na hilo soko la Uganda huko Congo sasa linachukuliwa na wafanyabiashara wa Tz on top of soko la zamani na mizigo yote hio inapitia Rwanda.

So no free ride.

No Free lunch.
 
Hakuna mjinga anayeweza kusajili gari ya Rwanda Tanzania hayupo , Sana Sana watanzania baadhi ndo wanasajili magari rwanda
Tanzania tuna utitiri wa sheria na mamlaka linaookua swala la vibali vya kutembeza lori

Sent
Hivi mkuu wale Mount Meru Petroleum magari yake alienda kuyasijilia Rwanda sio?au hua kuna mount meru Petroleum(T) na mount meru Petroleum(R)
 
Mie Sina ubaya na wao kuweka tight measure kuhusiana na corona , infact wanafanya hivyo kwa maslahi yao zaidi , Ila wakati huo huo sisi tuna fursa Kama taifa ya kuigeuza hii changamoto itufae , mizigo ishushwe tu boda ili waendelee kupata supply whilst na sisi hatupotezi

Sent
Hii imekaa fresh zaidi.
 
Ila Madereva wetu nao wanatakiwa wafikirie mbali maana Rwanda wakimaliza kujenda Dry port yao Kenya wanaweza kulazimisha mizigo yote kupitia bandari ya MSA

Halafu mizigo ikipungua Transpoters wanaanza kuwapunguza kazini
Not that easy!
 
Mkuu Mabeberu hayatoi kitu bure hata siku moja tunafanya biashara yanatutegemea

Sisi tukiacha kununua na kukopa kwao Nchi zao zitafilisika

Mabeberu yanaitegemea Africa kwa kiwango kikubwa
Basi tuache kukopa kwao yafilisike yaje huku kuomba msaada.
 
Hivi cimerwa zamani ilkuwa inategemea fuel kutoka wapi
Mimi nimeshawahi kupeleka mafuta Cimerwa Cyangugu miaka hiyo walikuwa wanatumia oil kabla ya kuanza kutumia makaa ya mawe huko songea

Kwa sasa huenda wakarudi kwenye oil kwa sababu mafuta yameshuka sana huo ni mtizamo tu
Coal from songea Ni addictive mkuu, very high calorific value , dangote ana gas supply pale hiari lakni bado yupo addicted na songea coal, hata Uganda na Kenya wana abundant supply ya south afircan coal kupitia Mombasa lakini bado wanaipa high value coal ya songea
Nina Imani hata hamna mfanya biashara anayeweza kurudi kutumia heavy oil, kutengeneza clinker , labda uniambie Cimerwa waamue kuimport hiyo clinker .

Sent
 
Hivi mkuu wale Mount Meru Petroleum magari yake alienda kuyasijilia Rwanda sio?au hua kuna mount meru Petroleum(T) na mount meru Petroleum(R)
Nadhani mount meru anasajili kampuni kila nchi anayopeleka mzigo.maana hata Zambia ana gari zina usajili wa huko.

Sent
 
Coal from songea Ni addictive mkuu, very high calorific value , dangote ana gas supply pale hiari lakni bado yupo addicted na songea coal, hata Uganda na Kenya wana abundant supply ya south afircan coal kupitia Mombasa lakini bado wananipa high value coal ya songea
Nina Imani hata hamna mfanya biashara anayeweza kurudi kutumia heavy oil, kutengeneza clinker , labda uniambie Cimerwa waamue kuimport hiyo clinker .

Sent
Kila kitu kinawezekana Rwanda wanaangalia afya zao kwanza kabla ya kila kitu

Wamepitia mauaja ya Kimbari kwa hiyo upotevu wa roho za binadamu bure sijui kama wataukubali

Tena unaosababishwa na uzembe wa kiongozi mmoja wa nchi jirani
 
Kila kitu kinawezekana Rwanda wanaangalia afya zao kwanza kabla ya kila kitu

Wamepitia mauaja ya Kimbari kwa hiyo upotevu wa roho za binadamu bure sijui kama wataukubali

Tena unaosababishwa na uzembe wa kiongozi mmoja wa nchi jirani
Sipingi hatua wanazochukua kuhusiana na korona, infact hata mie na support hatua wanazochukua sababu sisi kwa kweli tumezingua , ninachosisitiza ni kuichukua hii changamoto ya wao kutuzuia kuingia kwao, badala yake sisi tuigeuze fursa.

Matter of the fact ni kuwa hawana ujanja wa kuiepuka Tanzania , Kama wanangalia operation cost za njia ya Kenya na Uganda .

Sent
 
Sipingi hatua wanazochukua kuhusiana na korona, infact hata mie na support hatua wanazochukua sababu sisi kwa kweli tumezingua , ninachosisitiza ni kuichukua hii changamoto ya wao kutuzuia kuingia kwao, badala yake sisi tuigeuze fursa.

Matter of the fact ni kuwa hawana ujanja wa kuiepuka Tanzania , Kama wanangalia operation cost za njia ya Kenya na Uganda .

Sent
Kiongozi hapa vipi juu ya OP Cost?
IMG_20200518_213224.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi hapa vipi juu ya OP Cost?View attachment 1453699

Sent using Jamii Forums mobile app
Correct! hiyo iko zaidi kisiasa kwa Rwanda kuliko uhalisia , Ni mbinu tu za kibiashara kuonesha kuwa ana options kadhaa ili kupunguza monopoly za Tanzania
Naivasha dry port Ina mpa favour zaidi Uganda kuliko Rwanda , sababu ya geographical location, Rwanda atalazimika kupita boader mbili na kufanya clearance Uganda na Kenya , kabla mzigo haujamfikia . Hiyo ni process ndefu na sumbufu kwa mizigo ya transit.

Dar port Ni direct Hadi Kigali , kumbuka ukiacha urasimu , Dar port is cheapest kuliko Mombasa port in terms of clearance , na dar as a city is also the cheapest destination.

Zambia pamoja na kuwa na access ya Beira port bado kimahesabu anaona dar ni best,


Sent
 
Kila kitu kinawezekana Rwanda wanaangalia afya zao kwanza kabla ya kila kitu

Wamepitia mauaja ya Kimbari kwa hiyo upotevu wa roho za binadamu bure sijui kama wataukubali

Tena unaosababishwa na uzembe wa kiongozi mmoja wa nchi jirani
Go to hell.
 
Hali ya ubabe inaendelea mpaka wa Rwanda na Tanzania huku madereva wa Tanzania wakigomea kuingia Rwanda kwa sababu ya kunyanyapaliwa.

Pamoja na jitihada za kuwabembeleza zinazofanywa na maafisa wa Rwanda kwa kuwaahidi hali itakuwa tofauti na awali lakini bado madereva wamesimamia kile wanachokitaka,hawataki escort wakiwa huko Rwanda.

Kwa ujumla hali hasa kwa upande wa Rwanda inaelezwa kuwa ni mbaya kwa baadhi ya mahitaji km chakula vimeanza kuadimika katika maeneo mbalimbali.

Ni matumaini yetu pande zote mbili zitaelewana na kufikia muafaka kwa maslahi ya pande zote mbili.
Kumbe sisi ndio tunawalisha, na kwa upande mwingine dereva uliyebeba nyanya unagomaje ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali ya ubabe inaendelea mpaka wa Rwanda na Tanzania huku madereva wa Tanzania wakigomea kuingia Rwanda kwa sababu ya kunyanyapaliwa.

Pamoja na jitihada za kuwabembeleza zinazofanywa na maafisa wa Rwanda kwa kuwaahidi hali itakuwa tofauti na awali lakini bado madereva wamesimamia kile wanachokitaka,hawataki escort wakiwa huko Rwanda.

Kwa ujumla hali hasa kwa upande wa Rwanda inaelezwa kuwa ni mbaya kwa baadhi ya mahitaji km chakula vimeanza kuadimika katika maeneo mbalimbali.

Ni matumaini yetu pande zote mbili zitaelewana na kufikia muafaka kwa maslahi ya pande zote mbili.
0D736154-18FC-432F-B480-9C55B9A159D4.png
 
Ila Madereva wetu nao wanatakiwa wafikirie mbali maana Rwanda wakimaliza kujenda Dry port yao Kenya wanaweza kulazimisha mizigo yote kupitia bandari ya MSA

Halafu mizigo ikipungua Transpoters wanaanza kuwapunguza kazini

Mizigo ya Rwanda hata sasa ni kiasi kidogo sana. Wakiamua kutumia port ya Mombasa effects zake kwa TZ ni almost negligible.

Swali, kwanini sasa wasichukue chakula huko Kenya na Uganda?
 
Back
Top Bottom