johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,964
- 141,964
Kiukweli tuna mengi ya kujifunza kwa ndugu zetu Kenya zaidi ya kumsifia tu Chebukati na Tume yake ya Uchaguzi
Ruto amepiga Marufuku maandamano ya Wapinzani siku ya Jumanne na kuahidi kuwashughulikia endapo watakaidi
" Mimi ni Amiri Jeshi mkuu atakayekaidi agizo langu Atajua kuwa hajui" amesisitiza Rais Ruto
Ruto amepiga Marufuku maandamano ya Wapinzani siku ya Jumanne na kuahidi kuwashughulikia endapo watakaidi
" Mimi ni Amiri Jeshi mkuu atakayekaidi agizo langu Atajua kuwa hajui" amesisitiza Rais Ruto