Pamba Soccer Team

Hii Picha imenitoa Machozi
nauhakika katika mechi hii nilikuwa ndani ya nyumba, jukwaa kuu.
kuanzia kuchoto kwenda kulia waliosimama
Madata Lubugisa
Rajabu Musoma
Beya Simba
Nteze John
Kitwana Suleiman
Fumo Felician
Nimemsahau (naomba nikumbushwe)
Paul Rwechungura

Waliokaa kuanzia kushoto
George Gole
Khalfani Ngasa
Ali Bushiri
Nimemsahau (Naomba nikumbushwe)
Mao Mkami
Salehe Mohamed
Nimemsahau (Naomba Nikumbushwe)
Niko Bambaga.

Jemini Kiiza kati ya Fumo na Rwechungura, Alphonce Modest baada ya Ali Bushiri, nadhani Ibra Washokera kabla ya Nico Bambaga.
Kuna mechi moja Yanga walipigwa bao uwanja wa taifa....Mtangazaji anakwambia....Tenze John Lungu anajikunja hapa kama samaki wa mkizi....hahaa, hiyo sentensi sitaisahau!! Halafu kuna mechi CCM Kirumba, Mao Mkamy alimfanyia move moja Athuman China sijawahi kuiona iwe Gaucho au Okocha....I still visualise that move since early 90s....sijaona. Mpira ulikuja hewani, akautuliza kwa ndani ya mguu (inside foot)....akabonyea chini...akautelezesha mguu juu ya mpira hadi mpira ukatulia kwenye goti (kwa ndani), china akapitiliza nyuma (akijua jamaa anapiga kisigino), Mao Mkamy akaondoka na mpira.....watu wakakaanga chipsi!!
 
Wote waliopo mwanza, toa taarifa hizi. tunataka Jmosi kikao hapa JF kiwe cha nguvu na chenye kutoa muafaka wa mada hii. Hatutaki kuanzisha tawi la samba au yanga...NOOOO! Tunataka kurejesha hadhi ya soccer hapa TZA. Only Pamba Soccer Team can do that if we help them. HAKUNA LISILO WEZEKANA CHINI YA JUA
 
Tuko pamoja. Nitafurahi kuiona timu ambayo baba ananisimulia kila siku ikirudi katika hadhi yake. Mara ya mwisho nawafatilia walikuwa wanafanyia mazoezi buzuruga shule ya msingi
 
Hapa cha msingi tukomae timu ipande daraja ikishindikana tununue timu mojawapo ya majeshi kwa sababu kufikia mwakani timu za jeshi inabidi ibaki moja kwa sheria za Fifa za sasa. Yani mmiliki wa timu hatakiwi kuwa na timu zaidi ya moja. Fursa hiyo wananzengo
 
Reminder: Our JF meeting will start at 10:00 a.m.
Agenda: The Restoration of Pamba Soccer Team (International Soccer Standard in Tanzania)
Venue: Jamii Forum
 
Mkakati wa kwanza mnaonaje watu wakatengeneza kama kikundi cha kuhamasisha ili kuchangisha pesa kwa wadau wa mkoa ili kufanikisha options 2. Mosi timu kuiwezesha kupanda daraja kwa hali na mali. Optin 2 kama ya kwanza ikishndikana ni kutumia njia niliyosema hapo jana. Njia hiyo ni kununua mojawapo ya timu ya jeshi ambazo kuanzia mwakani inatakiwa ibaki moja.
 
Mkakati wa kwanza mnaonaje watu wakatengeneza kama kikundi cha kuhamasisha ili kuchangisha pesa kwa wadau wa mkoa ili kufanikisha options 2. Mosi timu kuiwezesha kupanda daraja kwa hali na mali. Optin 2 kama ya kwanza ikishndikana ni kutumia njia niliyosema hapo jana. Njia hiyo ni kununua mojawapo ya timu ya jeshi ambazo kuanzia mwakani inatakiwa ibaki moja.
Mkakati wa kwanza na wa pili ndio lengo kuu. Timu irudi ligi kuu, lakini si tu kurudi ligi kuu bali ilete ushindani. Siamini kama tunataka kuishia kutaja tu majina ya nyota wa zamani.
 
Ok,
Mimi sitaweza kuwepo kwenye mazungumzo haya, mawazo hayo mazuri maana ndio options pekee zilizopo. Lakini, cha muhimu zaidi mnataka uongozi gani na mfumo upi wa viongozi kuwa accountable na sio wafujaji? Je mikakati gani iwepo ili timu iwe na self generating income?
Juweni kwamba hata kama pesa inawekezwa, kuna kikwazo kikubwa cha Simba na Yanga. Azam wamewekeza sana lakini sababu ya U-Simba na Yanga, pesa yake ni kama inapotea, ingawa Azam ni kama chombo cha marketing kwa mwenye kampuni. Pamba walikuwa na backup nzuri kutoka bodi ya Pamba....apart ya kuwalipa mishahara wachezaji, pia kuna wachezaji wengine walikuwa na ajira Bodi ya Pamba penyewe e,g madereva etc.
Kwahiyo basi, hata kama Timu inapanda within 1 or 2 seasons au kununua timu ya Jeshi, swali muhimu....kuna misingi gani ya kusaidia longterm stability/continuity? Hii misingi ikiwekwa, hata wafadhili/makampuni yatakuja. Pamba was only successful because there was financial stability. Lakini pamoja na yote hayo hawakuwahi kushinda Ligi Kuu? Why? Kashikashi alizopitia Pamba ndio anapitia Azam!!
Tufikiri hayo mambo ndio hatua zichukuliwe!
 
Ok,
Mimi sitaweza kuwepo kwenye mazungumzo haya, mawazo hayo mazuri maana ndio options pekee zilizopo. Lakini, cha muhimu zaidi mnataka uongozi gani na mfumo upi wa viongozi kuwa accountable na sio wafujaji? Je mikakati gani iwepo ili timu iwe na self generating income?
Juweni kwamba hata kama pesa inawekezwa, kuna kikwazo kikubwa cha Simba na Yanga. Azam wamewekeza sana lakini sababu ya U-Simba na Yanga, pesa yake ni kama inapotea, ingawa Azam ni kama chombo cha marketing kwa mwenye kampuni. Pamba walikuwa na backup nzuri kutoka bodi ya Pamba....apart ya kuwalipa mishahara wachezaji, pia kuna wachezaji wengine walikuwa na ajira Bodi ya Pamba penyewe e,g madereva etc.
Kwahiyo basi, hata kama Timu inapanda within 1 or 2 seasons au kununua timu ya Jeshi, swali muhimu....kuna misingi gani ya kusaidia longterm stability/continuity? Hii misingi ikiwekwa, hata wafadhili/makampuni yatakuja. Pamba was only successful because there was financial stability. Lakini pamoja na yote hayo hawakuwahi kushinda Ligi Kuu? Why? Kashikashi alizopitia Pamba ndio anapitia Azam!!
Tufikiri hayo mambo ndio hatua zichukuliwe!
Wataalamu wa mambo ya soccer mtusaidie
 
Wadau hawakutokea kikaoni. Kama kawaida... Kikao kisichokuwa na posho...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom