Palizi la bustani

Palizi la bustani

qudadekiiii!! halafu hapo una nyimbo laiiiini za akina celine dione na waimbaji wengineo wa slow jam!!!!!

hivi kutakucha kweli????????

Kama huu hapa....



Utatamani kesho yake usiende mzigoni ...lol!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Huogopi hata huyu?

images
hivi hii kitu itamfanyaje huyu ng'ombe!!!
 
We si unajua mmasai siku zote anatembea na rungu ama sime sasa naanzaje kuogopa nyoka!!!!

Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!

Labda sio snake wewe!!!!!!!!!!
 
Kama huu hapa....



Utatamani kesho yake usiende mzigoni ...lol!!!!!!!!!!!


kazi ipo! afu saauuti ya dizaini fulani kama haisikiki vile!?

mnaongea kama hamueleweni vile! babake mtu ataomba poo siku hiyoo!
 
Last edited by a moderator:
kazi ipo! afu saauuti ya dizaini fulani kama haisikiki vile!?

mnaongea kama hamueleweni vile! babake mtu ataomba poo siku hiyoo!

Halafu uko na hii kitu hapa

images
Au hii
images


Walahi kesho unasema unaumwa ili usiende mzigoni ....lol!!!!!!!!!!!!!
 
Halafu uko na hii kitu hapa

images
Au hii
images


Walahi kesho unasema unaumwa ili usiende mzigoni ....lol!!!!!!!!!!!!!

:A S 13::A S 13:!!! cha kwanza mbona kinaniua mieeee!!

si ntanatiamo kabisa mimi? akchuale niko tayari kufukuzwa kazi kwa wiki moja!!

teheeee!!
 
Inategemea hiyo bustani umrlima kwa matumiz gani kama nikwa ajil ya kukaa nakunyoosha mgongo majani yake lazima yakatwe ili yasikuwashe, kama nikwa ajili ya kulishia ng'ombe laIzim uache liwe pori hataree ng'mbe apate kutoa maziwa.
 
Back
Top Bottom