Bustani inategemea na majani yaliyopo. Kuna yale magumu kama magugu maji na kuna yale malaini utadhani ya bandia. haya magumu ni heri yakatwe kabisa ila dalali kuwa hapa kuwa panaota majani ibaki au ipunguzwe kiasi kwamba mkanyagaji asisikie maumivu yeyote.
Mi napenda yale malaini, maji kidogo tu yamelala utadhani yanakufa bila kunyauka. Haya yanaraha jamani. hata mkanyagaji haumii kwasababu ni mepesi mnooooo. haya vyovyote iwavyo ni mazuri tu.
Mchango wangu katika katiba hii ya bustani ni huo tu naomba niendeleee kusinzia......