Palizi la bustani

Palizi la bustani

Mzuka wahiyo kitu hakuna dem anaesogea wewe!!!!!!!!

aaah wapiii!!!

hiyo haina nguvu sawa na kutembea kilomita saba bana!

hivi kweli utoke kamanga mpaka airport, utafanisha na kutoka kirumba sokoni mpaka pale kirumba polisi?

tofauti kabisa!
 
aaah wapiii!!!

hiyo haina nguvu sawa na kutembea kilomita saba bana!

hivi kweli utoke kamanga mpaka airport, utafanisha na kutoka kirumba sokoni mpaka pale kirumba polisi?

tofauti kabisa!

ni kwanini ukiizoea unamuona dem hana mpango?
 
Bustani bila majani umeona wapi....

Shurti yawepo japo level ya kapeti LA sufu

Ila kikiwa kipilipi ni kizungumkuti... Unaweza kuta vifungu vitatu kama mbigiri

Ni kweli..........

Mi napenda bustani ikiwa imetoka kupaliliwa.........

sasa wakati ile nyasi ndo zinaanza kuota inaleta mzuka fulani
 
Ni kweli..........

Mi napenda bustani ikiwa imetoka kupaliliwa.........

sasa wakati ile nyasi ndo zinaanza kuota inaleta mzuka fulani

Hebu waeleze hao

Ule mchomo ni nomaaaaa!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom