naaaam!tena wakati mwingine waweza fuga japo mifugo humo vikuweke active kila baada ya muda unapitisha mkono!Lakini yasitoke yote
Au siyo?
We si umezoea kuingia bustanini usiku wa manane?
Hujui huwa inakuwaje wewe!!
Kilimo kisicho na tija?
Are you serious?
Huogopi nyoka?
Masai bana!!
Hapana taka hii kabisa!!!!!!!!!
Kuhu ukikaribishwa na michomochomo kidogo kwa mbaaali
Kudadadeki ni balaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
naaaam!tena wakati mwingine waweza fuga japo mifugo humo vikuweke active kila baada ya muda unapitisha mkono!
Tuko pamoja. iwe safi kama shavu la mtoto mchanga
Nikiwa na sime ama rungu siwezi ogopaHuogopi hata huyu?
haswaaaaa!nao wana burudani yake eti!uliwahi kuwa nao?unamaana ya chawa?