sio mavuno watu tunasemea mavuno ya black farm
lakini mzima weye
Inategemea hiyo bustani umrlima kwa matumiz gani kama nikwa ajil ya kukaa nakunyoosha mgongo majani yake lazima yakatwe ili yasikuwashe, kama nikwa ajili ya kulishia ng'ombe laIzim uache liwe pori hataree ng'mbe apate kutoa maziwa.
Aisee hebu badili avatar bana
Unawekaje avatar ya mastress kama hiyo wakati wewe ni .........!!!!!!
Hauna sabuni au losheni pembeni hapo?
Kama kipara vile paroko mwenzangu?
mzima kabisa. mi nikajua nimepata Miss, kumbe nilikuwa naota
ewaaa baba paroko.....kwangu mzuka sana....unajua kuna watu wanapenda majani marefu kunako bustani na huku hawajui kuyaprun, kuyapalilia, kuweka mbolea na dawa nk...sasa inakuwa chaos....,hasa kwa siye tunapoenda 'kulala' bustanini
Unajidai hujui kazi yake??
Weka halafu baada ya siku mbili utaninong'oneza kitu
Trust me Miss!!