mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,336
- 6,426
Kuachana labda mpaka Jesus arudi,omba sanaa
usijiamini hvyo dada maisha hubadirika oooh
Kuachana labda mpaka Jesus arudi,omba sanaa
Tai habari yako?
Vuzi limeleta mambo jf
Aisee
Psss! Hilo neno "V" limenifanya nisichangie mada kwa raha,huoni mtoa mada alivyo tumia lugha ya kistaarabu we pinochio?!! eeww.
bustani ikiwa na kiduku ni nzuri pia....
sijaelewa mkuu... pinochio kwa kutamka neno vuzi au??
my understanding ni wkamba vuzi ni neno la kiswahili
sasa wewe umetamka neno "VUZI" ?Nilicho kuwa nataka kukilenga ni matumizi ya lugha! umesema "Vuzi",huoni kama umetaja neno zito kdogo,mtoa mada katumia neno bustani kwa ku avoid kulitaja hilo neno maana linachosha! huoni mkuu??
Mmh, watu wanadiskasheni mazivu in public?!
no tunadiskeshen mazivu in PUBIC
kwikwikwikwi
sasa wewe umetamka neno "VUZI" ?
Hebu ninong'oneze swiry
Wapenda uwanja gani vile?