Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Labda tuanze kuangalia mwanzo wa Jina Palestina ndipo tutaelewa nani alikuwa wapi na wakati gani.
Jina "Palestina" lilianzishwa rasmi katika kipindi cha 138AD, miaka mitatu baada ya ukandamizaji wa Rumi kwa Bar Kochba. Lakini ifahamike kuwa, kabla ya hapo kulikuwa na Falme ya Israel ambayo ilikuwa na Wafalme mbali mbali ikiwa pamoja na Daudi, Solomoni, Hezekhia, na wengine wengi.
Bado hujanieleza, unamaanisha nini uliposema kuwa "Waisrael walikuwepo hapo"? Utakapo tueleza kiundani walikuwepo hapo tokea lini, basi utakuwa umeuelezea ummah wote kuwa mwenye haki na hiyo ardhi ni "Israel ilio kuwepo hapo".
I am happy to hear that sasa unakubali bila kupinga kwamba Waisrael Hebrews to exact, ndo walikuea kwao. Lakini bado hutuelezi ni wapi hawa Palestina walitokea na mwanzo wa jina la Palestina, ili kupunguza maswali tata.
Ili kupunguza utata, ningependekeza tuzungumzie kuhusu hii ardhi kabla ya Kuzaliwa Yesu (BC), ni nani alikuwa mwenye haki na hiyo ardhi, na hiyo haki alipewa na nani.
Watakabahu
jina palestina liliwekwa hapo na utawala wa rumi .ni jina tu kama ilivyo Tanzania.sasa haina maana eti kwa sababu ilikua tanganyika leo wanaiita Tanzania basi raia wa tanganyika wanakuwa ndo hawapo.yanabadilika majina lakni raia wanabaki palepale.kwani kabla wajerumani hawajaiita hii nchi tanganyika ilikua inaitwaje.
Pia wapalestina wa leo ni mchanganyiko wa maangiliano ya wacaanan ambao ndo wenyeji wa hapo na walebanon na wajoridan.
Hakuna historic evidence inayoonyesha kwamba wapalestina walifunga safari toka kokote walikokua kuja hapo caanan.
Hivyo utetezi wa eti hakuna palestina kwenye vitabu vya dini ni groundless.
SWALI NI NANI ALIKUA MWENYEJI WA MWANZO PALE.
Read your bible from.
IN THE BEGINING.