Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,863
- 93,644
Analipwa 80% ya Rais aliyeko madarakani, gari, dereva, mafuta, matibabu, walinzi n.k bado watoto wao ni viongozi/wabunge n.k bado unataka uendelee kumnemesha, kuna walimu wametumikia taifa kwa uaminifu mkubwa lakini hata pension zao ni aibu. fungua macho uone.Kumtunza na kumuenzi mtu aliyetumikia Taifa kwa miaka 10 katika kazi ngumu kama ya urais wewe unaona si jambo la msingi? Ulitaka taka wa enziwe vipi?