_aysher
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,131
- 942
Ahsante kwa kusaidia wanawake unafikiri hakuna wanawake wanasaidia wanaume na ndevu zao?Sister inabidi ukomae sana na nimesema hivyo kwasababu najua wanawake wengi huwa wanapoteza muda wao mwingi kuwategemea wanaume.
Na kwa kupitia hilo inaonekana wanawake ndio wanapatwa na matatizo mengi kwa mfano kutelekezewa familia nk. Na ndio maana nikipiga hesabu pesa yangu nyingi imetumika kuwasaidia wanawake zaidi kuliko wanaume.
Na huwa ninajitahidi kuwapa ushauri mzito.
Afrika ukiuzungumia umaskini mtu wakwanza kuonekana ni mwanamke je nyinyi wanawake hilo swala mnalichukiliaje?