TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,421
Habari wakuu moja kwa moja tuingie kwenye bandiko letu
Kama kichwa Cha habari hapo juu dhumuni la uzi tuweze kubadilishana mawazo wana JF bidhaa zepi zenye fast moving pale k,Koo kwasababu pale kwa sasa ndio center ya biashara east Africa nchi mbalimbali wakikutana pale k,Koo nakufanya manunuzi ya bidha mbalimbali for wholesale.
Wafanya biashara wa mikoani pia hukutana pale k,Koo wakifanya manunuzi yao na kwenda kuuza for wholesale hi kutokana na bidhaa nyingi kuwa cheep najua wanapochukua bidhaa zao nyingi wanakwenda kuchukua China.
Wengine wakiagizia kupitia mtandao wa albaba, Amazon, eBay nk...
Bidhaa zipo nyingi sana kuanzia Hardware,Nguo viatu, mapambo ya wanawake nk..
Je kundi lipi la bidhaa ambazo kwa mgeni pale k,Koo unaweza kuanza nazo..... Mfano ukiingia na mtaji wa million 35
Kama kichwa Cha habari hapo juu dhumuni la uzi tuweze kubadilishana mawazo wana JF bidhaa zepi zenye fast moving pale k,Koo kwasababu pale kwa sasa ndio center ya biashara east Africa nchi mbalimbali wakikutana pale k,Koo nakufanya manunuzi ya bidha mbalimbali for wholesale.
Wafanya biashara wa mikoani pia hukutana pale k,Koo wakifanya manunuzi yao na kwenda kuuza for wholesale hi kutokana na bidhaa nyingi kuwa cheep najua wanapochukua bidhaa zao nyingi wanakwenda kuchukua China.
Wengine wakiagizia kupitia mtandao wa albaba, Amazon, eBay nk...
Bidhaa zipo nyingi sana kuanzia Hardware,Nguo viatu, mapambo ya wanawake nk..
Je kundi lipi la bidhaa ambazo kwa mgeni pale k,Koo unaweza kuanza nazo..... Mfano ukiingia na mtaji wa million 35