TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,421
Habari wakuu:
Im real Team 666:
Nimeona bidhaa nyingi kwenye mtandao wa Alibaba ziko cheep kulinganisha na huku kwetu Tanzania mfano wa biashara ya vifaa vya simu, nguo, viatu,nk...
Albaba, Amazon, eBay nk... Ndio kwenye machimbo ya wafanya biashara wa k,koo huko wana-port Via Alibaba sana sana kwasababu hii site ndio inauza vitu vyake for wholesale.
Pampers za watoto bila ya Shipping fee cost wanauza Usd 0.10 dollars ukii-comvert kwa pesa ya kibongo sawa na shilling 239.90. for one pieces.
Simple
Minimum order pieces 100,000 sawa na usd 10,000
Ukifanikiwa kuleta Hadi bongo hizi Pc 100,000 ukiuza elf 10000 kila pieces unakalibia 1 bilion
Kumbuka sijaweka transaction fee....
Im real Team 666:
Nimeona bidhaa nyingi kwenye mtandao wa Alibaba ziko cheep kulinganisha na huku kwetu Tanzania mfano wa biashara ya vifaa vya simu, nguo, viatu,nk...
Albaba, Amazon, eBay nk... Ndio kwenye machimbo ya wafanya biashara wa k,koo huko wana-port Via Alibaba sana sana kwasababu hii site ndio inauza vitu vyake for wholesale.
Pampers za watoto bila ya Shipping fee cost wanauza Usd 0.10 dollars ukii-comvert kwa pesa ya kibongo sawa na shilling 239.90. for one pieces.
Simple
Minimum order pieces 100,000 sawa na usd 10,000
Ukifanikiwa kuleta Hadi bongo hizi Pc 100,000 ukiuza elf 10000 kila pieces unakalibia 1 bilion
Kumbuka sijaweka transaction fee....