Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,121
- 4,017
Nimesikia alichokuwa anaongea nikakachoka. Kazi tunayo.
Am so smart more dan you can think of!Hao jamaa tuishi nao kwa akili, si kujitamba kuwa mean and menacing, wakati hatuna lolote .
Kama kuna kitu cha kujifunza, ni kama issue ya Saddam Hussein.
No noooo!! Walikudanganya hao kwa Masrahi yao! De dead warrior and successful Commanders in Hx is the symbol of Hope and prosperity for any viable communities!... eti ''is of no use kabisaa mtu mzima unaamini hivo in this Electronic age?? you cannot win all of the time!Mkuu remember the axiom, a dead hero is of no use to any one.
Leo tuongee mambo ya ushirikiano wa kimataifa on a win-win scenario.
Kutukanana kimataifa hakujawahi kuwa the way to go, hata kama nia ni kuonyesha kukerwa kwetu na matamshi toka nje.
Nimekupa mifano mingi ya African heros hapo juu, kuna mawili au hukusoma, au umepuuza!!Mkuu remember the axiom, a dead hero is of no use to any one.
Leo tuongee mambo ya ushirikiano wa kimataifa on a win-win scenario.
Kutukanana kimataifa hakujawahi kuwa the way to go, hata kama nia ni kuonyesha kukerwa kwetu na matamshi toka nje.
Hero- mtu anayeishi kikamilifu na kutimiza principles zinazokubaliwa na wengi na kwa manufaa ya hao wengi.Nimekupa mifano mingi ya African heros hapo juu, kuna mawili au hukusoma, au umepuuza!!
km ni ''have no use'' mbona mnamkumbuka Baba wa taifa kila mwaka? leo USA black wako free ajili ya Martin luther King na wanaadhimisha kila mwaka je huyu ''have no use? au siyo ''dead hero
nini maana ya '' has no use? unatumia kilji mkuu
Hana cheti cha form four , hajafanya mitihani ya uwakili wala hajui inafananaje . Palamihogo lazima atii mwendo na gwalide la kihutu kwa kwenda mbele .Huyo hapo Prof. MajalalaniView attachment 1632888
Kwahyo form four alifeli au ilikuwaje maana wenye kukosa cheti Cha form four na yeye alikuwemo?Hana cheti cha form four , hajafanya mitihani ya uwakili wala hajui inafananaje . Palamihogo lazima atii mwendo na gwalide la kihutu kwa kwenda mbele .
Wanasemaga: "You can't teach old dogs new tricks.."Career Diplomats tunao wengi, naomba mumpe somo ndugu yetu Palamagamba!
Siyo kweli huo ni mtizamo Binafsi!! Wana mapinduzi wote Duniani wanajua kuwa mpo, Nefilim hana U- Simba, anatishatisha tu, hata hao mashujaa wote niliokupa mifano yao walidhihakiwa/wanadhihakiwa kuwa walijitakia kwa kujiingiza ktk mdomo unaouita wa Simba.ero hajiingizi kichwa kichwa kwenye mdomo wa simba ili kujionyesha courage ya show off.
Thats stupidity, kama alivyofanya Saddam.
He died meaninglessly na kusababisha kuangamia taifa la Iraq na yeye mwenyewe kuuwawa kama coward.
Hujanielewa tatizo ni kwamba Ligi zinakufuata zenyewe, Kwa jinsi ulivo nogesha maongozi yako yenye tija kiuchumi!! hii ni hulka ya kibinadamu, hata kwenye maisha ya kawaida tu majumbani mwetu, ukiinuka kiuchumi, kielimu hata kuzaa nkIts wiser kuwapotezea hao wazungu kuliko kuingia nao ligi ya maneno.
Tukazane na issue za maendeleo hapa nyumbani.
Tumuunge mkono JPM masuala ya SGR na Stieglers Gorge Power Plant.
Hizo ndo issues.
Fantastic hapo sasa umenielewa!Lakini hata waswahili waliwahi kusema , miluzi mingi humpoteza mbwa.
Siye tukazane chini ya jemadari wetu asiye na maneno mengi, JPM.
Wataongea na watanyamaza, sawa ya watu wengine ni kuwa puuza, ikibidi kuongea basi lazima iwe dilomatically correct.
Ukimya wakati mwingine ni jibu tosha.