Palamagamba Kabudi, are you really a Diplomat?

Diplomasia ina dimensions zake na haiko static. Diplomasia ya kibabe ipo na inafanyakazi, kipindi hiki ni cha vita vya kiuchumi, kama hujui basi elewa kuwa vita tayari ilishatangazwa duniani, nchi ziko vitani.Kwa wanaosubiri kuanza kwa vita watakuja kushtuka vita imeisha na hawana pa kushika.Kabudi piga kazi, piga mikwara ya nguvu
Safi mkuu, panda ndege kawapige virungu huko huko!!
Tusiishie diplomasia!
 
Jamani, si mwenyewe alishajisemeaga aliokotwa jalalani? Kwani jalalani hukaaga vitu gani?
 
Mkiona mnamjadili alichoongea Prof, manake yamewaingia, mmezoea kulamba mihuu ya wazungu, na mlitegemea mabwana zetu mwaka huu waje walete vurugu, kiko wapi? Hata huyo bwana wenu aliyetumwa kusimamia uchguzi na kuwaadaa muandamane amefanya nn?
Acheniupuuzi.
 
Vijana Humu Wengi Ni Mboga Saba, Akili Zenu zinawaza Baba Mama Analeta
Anaeleta nini Mezani Hamna ile Akili kuwaza mnaondoka lini kwa wazazi wenu. Kutegemea wazazi ndio madahara yake haya. Hata mkiwa katika umri ya kujitegemea ,Bado mtataka kuendelea kutegemea wawazi kisa uwoga Wa kusimama na kijitafutia... ukiwa na Akili tegemezi tangu utotoni Madhara take ni haya ten Vinajana wengi Wa CHADEMA WANAAKILI TEGEMEZI.. Ndio maana watakuambia Tanzania Bila Misaada itakwish🤣😂🤣😂🤣😂 Kama Vile Baba asipoleta chakula Lazima kijana huyu alale njaa Maana Hana Tena mbinu ya kutafuta kwa sababu mfadhili wake kakosa...Vijana Kuanzia Miaka Ya 80 Acheni Ujinga na Upumbavu Wa kuwa na Akili TEGEMEZI Binadamu katika maisha lazima uwe na Kiburii ndii maana kipo kisingekuwa na Faida kisingekuwepo...HUWEZI KUWA NCHI HURU HALAFU UPIGE MAGOTI KWA KILA MWONGOZO WA WATOA MSAADA NA USIPOFANYA IVYO UTAADHIBIWA KWA KUNYIMWA MKOPO AU MSAADA....😳😳😳😳 Halafu kuna Vijana wanashereka na Kufurahiaa Bora tunyimwe Mkopo😂🤣😂🤣 YANA HAWA UKIANGALIA BACK GROUND YAO NI WALE MBOGA SABA ADHABU ANAYOPEWA AKIFANYA KOSA NI KUTOKUNGALIA MOVIE AU KUTOKWENDA BEACH🤣😂🤣😂 Hawawezi hata Siku moja Kuwa na Akili ya Kiburi au Ubishi Wa maishaaa Hawa ni wale Wa Yes Daddy🤔🤔 TANZANI TULIHIHITAJI RAIS ANAWEZA KUSEMA *HAPANA ili alinde Heshima ya Na Uhuru wetu Hata Kama tunafanya Mokosa ni lazama Suluhisho lianzie ndani na Sio Nchi Nyingine zinazofikiri Kukata Msaaada Tutakufa.😳😳😳 HATUFI!!!! MAISHA HAYAKOSI CHANGAMOTO ZIKIJA ZA KUFUTIWA NA KUNYIMWA MKOPO TUTAKWENDA NAZO KAMA CHANGA MOTO

VIJANA WA CHADEMA MNACHOKIFANYA MTAANDAONI NI AIBU KUBWA KUFIKIRI MABADILIKO MNAYOYATAKA YATALETWA NA WAZUNGUUUU ......EBU JIULIZENI NYINYI MNACHOFANYA NI NINI KUHAKIKISHA HAYA MABADILIKO MNAYOTAKA YAKUJA KWA MAWAZO FIKRA NA NGUVU ZENU ILI YAKIJA KUSIWE NA REMOTE CONTROL YA KUWAAMBIA FANYA HIKI HIKI USIFANYE......HAKUNA SEHEMU DUNIANI EU AU USA IMELETA MABADALIKO KWA AJILI YA WANANCHI HUSIKA .....HUWA NI MABADILIKO YA UCHIMI WAO KWANZA NYINYI BADAE

Kumeibuka Hii kitu inaitwa Democracy au Haki za Bianadamu😂🤣😂🤣🤣 HAPA NDIPO WAPUMBAVU NA WAJINGA WANAPIKAMATIWA.... HIVI MNAJUA USHOGA NI HAKI YA BINADAMU KWENYE NCHI ZA EU IVI MNAJUA NDOA ZA JINSIA MOJA NI HAKI YA BINADAMU


SASA TUNAWAAMBIA IVI TUTACHAGUA HIZO HAKI ZA BINADAMU KWA KUANGALIA TARATIBU, TAMADUNI NA SHERIA ZA TANZANIA MNAOFIKILIA KUNYWIMWA MSAADA NDIO KUTAIPA CHADEMA IKULU HAMIENI EU🤣😂🤣😂
 
Mwanadiplomasia namba moja wa nchi yetu ni rais. Hata angekuwa mahiri kiasi Waziri hawezi hata siku moja kumzidi rais katika uwanja wa diplomasia.
 
Mkuu you are hallucinating.
Na nani kakwambia mada hii inahusu Chadema na ushoga.
Msipindishe mada kwa issue ambayo ni dhahiri.
Tanzania ina Waziri ambaye anatakiwa kuwa mwana Diplomasia, mwenye kuongea tunachotaka sisi kwa lugha staha ya kidplomasia, na si vinginevyo.
Ukitaka kuanzisha mada ya ushoga unaoushabikia, anzisha mada yako.
 
N
Mkuu diplomasia zina lugha yake hata kama hukubaliani na upande wa pili.
Hiyo zamani Bana..
Ni ujinga na matumizi mabaya, ya kuwa Diplomatic hovyo!! kuna sehemu na sehemu inayo paswa kutumika hivi au vile!! mtu na mtu!! hata kutoa direct kick words ni Diplomasia vilevile! km wao wanavoitumia ikiwabidi.

Ila mleta Mada unataka tu-Apply Diplomacy kandamizi isokuwa na Masrahi ambazo walitufundisha wao! na kwa faida yao. ile Diplomasia yao! tuliiona ina mapungufu kitambo sana tukajiongeza, ndo maana sisi mara nyingi tunakujaga kivingine!!

Rais Museveni aliwahi sema namnukuu.. '' Initially I thought they are serious, but they are a bunch of useless people'' bila kupepesa macho huyo hap! mbona walikaa kimya mpaka leo'' Mugabe na Condolezer Rice sisemi.......mnajua!!
 
Vijana Humu Wengi Ni Mboga Saba, Akili Zenu zinawaza Baba Mama Analeta
Jirekebishe Mboga saba saba mbona mnawananga sana? kama wao si kitu! maisha ya Bongo mboga saba ni za mzazi tu! kwani ukoo mzima sasa wana mboga saba, sometimes naenda mbwinde kwa shangazi kukaa au kwa Bibi na kumalizia shule huko?

na huko ni mboga chukuchuku, , maji kisimani mbali haiwezekani uambatane na Mzee wako kila kona ya nchi! acheni hizo utoporo!! ukiamka tu ni mchakamchaka utaomba shule zifunguliwe harak!! Mzazi akiingia mnatafuta cha kufanya!!

But wageni hamtakaa myajue hayo utaona hawa ni mayai tu, na wanapiga pindi msuli mpaka wana washindeni bush star! wakitoboa mnaanza ooh! Baba yao ana hela kawanunulia vyeti! ooh! walisoma kenya!

Tena wale mnaoona mboga saba ndo wana shida usipime na ndo wanatoboa! Baba zao ni wakali walipitia shida hawataki watoto wabweteke! lkn watoto wa maskini wana tanua wanapewa hela nyingi wazazi wanauza mashamba, ngombe ili watoto wasome!!

Ukiona mtoto wa tajiri anatanua, mayai mayai sana, jua ni wa nyumba ndogo, Ukiona mke ana funguliwa mlango wa gari na mwanaume jua ni mke mpya UKiona vicheko vya furaha na mazungumzo yasiyoisha ndani ya gari usibabaike ni wapya hao! wape mwaka mmoja!


Kimbembe watoto masikini wakiingia mjini kimaisha wanaishi kwa wajomba zao, ambao watoto wao wako mbwinde. ndo sasa wanajifanya makuzi eti pale ni kwao wanatoka familia ya mboga saba km wewe!!
 
itoto chini ya miaka mitano vinakufa, wajawazito wanakufa wakati wa kujufunguwa, hebu tuache mzaha tunatafuta laana tu badala ya baraka.
Sawa jiulize pamoja na shida zooote hizo tulizo pitia na kusababishiwa maksudi, mbona kwa idadi ya watu Duniani tuna kimbiza?!! Tanzania peke yake tunawazidi kwa idadi ya watu UK! wakati wa uhuru UK ilituzidi maradufu?! wasingekufa je!

Mlifundishwa ili tuendelee tunahitaji vitu 4 na rasilimali watu ikiwemo! km waisrael wa Misri kadri walivo uawa ndo walizidi kuwa wengi
sisi hatupewi misaada ni hela yetu hiyo wanayo chuma kwetu!! Babu zetu si waliwalimia mashamba bure? wanarudisha kijanja ili tusije wadai fidia huko mbele!

wanajua wakituacha tutakuwa hatutakamatika tena km walivoisusia china leo haikamatiki!
 
Shame! Umesoma hoja ya mleta hoja au unahorojeka Kama tumbo la kuhara? Rudi kwenye hoja na acha kututoa nje! Halafu, acha kutumia avatar zisizoakisi uwezo wako wa akili! Hustaili kujiita Dr.
 
Sikiliza hii video clip.


View attachment 1632987

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Nasikitika kusema kwamba mimi sina akili zaidi ya nguruwe kwahyo,hata nikitazama siwezi kuelewa chochote.

Inashangaza kumkuta mtu anatwanga maji kwenye kinu,cha ajabu hapo sio maji wala kinu bali ni akili ya huyo anaetwanga maji.

Nguruwe hajui kuandika wala kusoma lakini kuna mtu anaejiona ana akili nyingi anamuandikia ujumbe mtu ambaye anazidiwa akili na nguruwe,ajabu sio nguruwe kutokujua kusoma bali anaetia shaka ni yule anaemwandikia nguruwe ujumbe .
 
Mkuu, it doesn’t pay to be mean, radher than to be practical and diplomatic.
Be smart and simple.

Hao jamaa tuishi nao kwa akili, si kujitamba kuwa mean and menacing, wakati hatuna lolote .
Kama kuna kitu cha kujifunza, ni kama issue ya Saddam Hussein.
Alizidiwa na utajiri wa mafuta na kaanza kutembeza umwamba Middle East.

Saddam kapigana na Iran kwa msaada wa hao hao wazungu, miaka 8.
Umwamba na kujiamini kulipo zidi mara kajenga kinu cha nuclear, mara kavamia Kuwait.

Hao jamaa walipomchoka, wakaamua kuwa na principle ya “give a rogue dog a bad name, and kill it”

Kweli, wakamzulia kuwa ana WMD, Weapons of Mass Destruction, kitu ambacho ni cha kuzua.
Wakasema anaweza kupiga Washington na London kwa missiles ambazo anaweza kuziset up ndani ya dakika 45.
Wakapitisha maazimio ya kumdhibiti, si bunge la Ulaya tu, bali UN Security Council.
Nia ilikuwa kumuua tu na kuangamiza dola ya Iraq.
Pamoja na huo mtego na sifa za kijinga Saddam aliendelea kutukana na kukejeli pamoja na kujigamba kuwa yeyote atakayeshambulia Iraq itakuwa “Mother of all battles”

Saddam alipogundua baadaye kuwa amezungukwa, na jamaa wamedhamiria kumpiga, akawaambia kwa kweli hana silaha za WMD, na hashambulii mtu.
Hakuna aliyemsikiliza, by then, diplomasia ikawa haina nafasi.

Tujifunze na historia, hata matukio kama haya ambayo ni ya karibuni.
 
Being a Professor, Kabudi thinks he’s too smart to receive guidance from seasoned diplomats. Nilimshangaa sana kaitisha kikao na wafanya kazi wa Wizara kuwaambia upuuzi wake.
 
Back
Top Bottom