Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,302
- 24,143
- Thread starter
- #61
Safi mkuu, panda ndege kawapige virungu huko huko!!Diplomasia ina dimensions zake na haiko static. Diplomasia ya kibabe ipo na inafanyakazi, kipindi hiki ni cha vita vya kiuchumi, kama hujui basi elewa kuwa vita tayari ilishatangazwa duniani, nchi ziko vitani.Kwa wanaosubiri kuanza kwa vita watakuja kushtuka vita imeisha na hawana pa kushika.Kabudi piga kazi, piga mikwara ya nguvu
Tusiishie diplomasia!