Padri Hauawi, Hata Sheikh Pia...!

Padri Hauawi, Hata Sheikh Pia...!

kwani nani kasema aliyeua ni muislamu? na hata kama ni muislamu unajuaje kama ameua kutokana na visa vya kidini? mimi binafsi sitaki kuamini hivyo labda kama vyombo vya usalama vitupe ukweli lakini sio vyema kuhukumu moja kwa moja kuwa walioua ni waislamu ndugu zanguni.

Umesema kweli lakini inauma sana kwa watumishi wa Mungu kuuawa namna hii katika nchi inayodaiwa kuwa na amani!
Kimsingi kuna amani lakini Uongozi inabidi uwepo, kwa sasa hatuna kabisa!
 
Ivi unajua kuwa huyu shekhe Ilunga ni mpinzani ndani ya uislam. Haya madhehebu ya kisasa ni balaa tupu.

Mi naongelea kitabu chenu ambacho huyo mpinzani alinukuu.
Je kimeshushwa kweli?
 
Acha uhuni wewe!.. Nani kamuua padri kama si waislamu?!!!!... Serikali tumeipigia kelele tangu CD za mipango ya mauaji ilipotoka septemba mwaka jana mpaka sasa hawajali na waandaaji wa CD za kuhamasisha waislamu kuua wakristo zinaendelea kuzagaa mitaani. Wewe unaswali wapi?!!!!

Naona wewe ni mkristo na umeumia sana!

Just cool down, for sure, mimi nimeumia sana lakini lazima tujue dini yetu inasemaje? Mwombee hata adui!
Wakristo wanaouawa ndio hao Watakatifu, tutende kazi zetu kama kawaida bila kuogopa, maana hata Yesu mwenyewe aliuawa bila sababu maalum katika nchi hizo hizo za kiisalam,
na wakati huu ambao dhambi zinajirudia ni muda wa kuomba sana! Mwisho umekaribia na watajibu kwa huyo huyo Kristo!
Kama nasi tutakuwa na ghadhabu tuna tofauti gani nao??

Lets Pray more and more when difficult times come!
 
Naona wewe ni mkristo na umeumia sana!

Just cool down, for sure, mimi nimeumia sana lakini lazima tujue dini yetu inasemaje? Mwombee hata adui!
Wakristo wanaouawa ndio hao Watakatifu, tutende kazi zetu kama kawaida bila kuogopa, maana hata Yesu mwenyewe aliuawa bila sababu maalum katika nchi hizo hizo za kiisalam,
na wakati huu ambao dhambi zinajirudia ni muda wa kuomba sana! Mwisho umekaribia na watajibu kwa huyo huyo Kristo!
Kama nasi tutakuwa na ghadhabu tuna tofauti gani nao??

Lets Pray more and more when difficult times come!

Be blessed!.. Dini yetu hiruhusu visasi!.. ILA UKIMYA WA SERIKALI UMEWACHOSHA WAKRISTO!... Waliomo mtaani ni wengi kuliko waliomo kanisani na mafundisho haya hawayajui!...
 
Be blessed!.. Dini yetu hiruhusu visasi!.. ILA UKIMYA WA SERIKALI UMEWACHOSHA WAKRISTO!... Waliomo mtaani ni wengi kuliko waliomo kanisani na mafundisho haya hawayajui!...

Ni kweli lakini lazima wakristu kama kuuawa kwa Padre anayeenda kanisani, ni kufia dini as far as Zanzibar nijua pamoja na vitisho vyote!
Cha muhimu ni kuomba na kuhubiri ukweli zaidi!
Kuchoka ni dhambi kabisa, kisasi huo si ukristu maana ukizungumzia ukristu inamaana unamzungumzia Yesu aliyesema mlsilipize, akitofautisha sheria ya Musa ambayo waislamu mara nyingi bado wanaitumia!
So ni kuhubiri upendo na ujilinda, Mfano mapaader sasa wasitembee peke yao, kuna watumishi wengi tulikuwa tunafanya ivo,
Kwa Zanj sasa ni sehemu ambayo Utume halisi unahitajika, Kumbuka Rumi ilikuwa ivo wakristu waliuawa, lakini kanisa limeendelea tu,
Mwisho wa hawa watu u njiani waja, na Zanzibar watageuka wengi baada ya hao kukutwa na ya Sauli na wengine walioenda kinyume na Mungu!
 
Sikuzote Mkuki kwa Nguruwe kwa Binadam Mchungu Jamaa hivi unaushahidi kuwa Waislam ndo Wamehusika ?
Je mbona walipouliwa Waislam Mwembe Chai mlikaa kimya?
Je mbona Sheikh alipomwagiwa tindikali mlikaa kimya?
Acheni kupotosha maana waache Police wafanye Uchunguzi ukweli utabainika

hoja nyepesi kama manyoya....je mauaji ya mwembe chai na zbr yanafanana?
pili, ni nani asiyejua kuwa kumwagiwa tindikali kwa sheikh ni matokeo ya kupingana waislamu wenyewe?
 
Matamko ya kina Maggid ni kama ya ndege mbuni. Ndege huyu ni wa ajabu akikutwa na matatizo anafunika kichwa chini akidhani ya kuwa tatizo halitamfikia. Mtu yeyote anayefikiria mbali hawezi kutegemea jeshi la polisi lilioshindwa kutoka majibu ya Mwangosi, daktari wa pale Muhimbili (jina nimelisahau), padri aliyeumizwa kule Zanzibar and the list goes on and on. Kikwete inabidi amwajibishe shemeji yake, Said Mwema, mara moja! Jamani mustakabali wa taifa letu huko kwenye line. Maneno ya mbuni hayayasaidia kitu.
 
maombi ndiyo solution ya matatizo yanayolikumba taifa
 
Kosa kubwa lilifanyika enzi za Nyerere kutowalazimisha hawa la saba(waislamu) wapende shule,matokeo ndo haya sasa elimu dunia wameikosa wamebaki tu kukariri kiarabu na kuwaza kuua foolish waislamu wauaji I hate your evils,mwisho wenu umekaribia soon.
 
ukitafakari sana utagundua kuwa kwa sasa ZAnzibar sio sehemu salama sana ya kuishi hususani kwa Wakristo.

Nipo zanzibar na sasa hivi nipo kwenye mchakato wa kumiliki bastola, na nadhani hali ikiedelea namna hii watakaotaka muungano uvunjike sio uamsho tena itakuwa wakristo wanataka uvunjike.
 
nawasiwasi na kauli zilizotolewa na viongozi wa dini/ wanazuoni, na viongozi wastaafu!!!!!!!!!!!!!!!!!
wanaposema tutatufe kiini cha mgogoro kwa viongozi wa dini kukaa chini na kutafuta kiini cha tatizo,
 
One Does Not Kill A Priest, Not A Sheikh Either! - Padri hauawi, hata Sheikh pia... Ndugu zangu, Nimepokea kwa masikitiko makubwa habari za kuuawa kwa Padri Mushi wa Kanisa la Minara Miwili huko Zanzibar asubuhi ya leo. Tumelelewa tukiamini, kuwa hakuna atakayethubutu kumpiga risasi Padri au Sheikh. Kwa nini sasa? Hakika, sote bila kujali tofauti zetu za kiimani, tuna lazima ya kuukemea uovu huu. Na mamlaka husika zihakikishe hakuna kinachoachwa bila kugeuzwa hadi waovu waliohusika na uovu huu watiwe nguvuni. Maggid Mjengwa, Iringa.
Maggid siku nyingi tunalalamika serkali kutomchukulia hatua Unstaadh illunga aliyezunguka nchi nzima pamoja na Zainzibar akihamasisha waislamu wasibweteke bali watafute namna nzuuuuuuuuri wawashughulike viongozi wa kikristo kama njia ya kupambana na mfumo Kristo. Hivyo hakuna sababu ya kujiuliza kwa nini sasa!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom