bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 644
Asante kwa hisia zako lakini vyombo vyetu vya dola tunavilamu kwa kuwa havifanyi kazi kwa hiki.Alipouliwa RPC wa Mwanza
wahusika walisakwa kama nini nawalishakamatwa lakini mauaji ya wazi ya raia polis inakuwa wazito kuwasaka na kuwakamata wa husika.Laana hii italifikisha pabaya taifa letu wakubwa wa nchi wasipogeuka na kusimamia sheria za nchi
wahusika walisakwa kama nini nawalishakamatwa lakini mauaji ya wazi ya raia polis inakuwa wazito kuwasaka na kuwakamata wa husika.Laana hii italifikisha pabaya taifa letu wakubwa wa nchi wasipogeuka na kusimamia sheria za nchi