Padri Hauawi, Hata Sheikh Pia...!

Padri Hauawi, Hata Sheikh Pia...!

Nafikiri kimya kitokakanacho na busara ni adhabu tosha kama jibu kwa mamlaka husika na kwa watekelezaji wenyewe. Wamerusha ngumi wanataka ijibiwe ili agenda itekelezwe. Nawasihi wakristu wasirushe ngumi bali wawaache warushe ngumi nyingi tu kadri wanavyoweza. Mwisho wa siku, wataanza kurushiana wenyewe. Muda utaamua.......
ukitafakari sana utagundua kuwa kwa sasa ZAnzibar sio sehemu salama sana ya kuishi hususani kwa Wakristo.
 
Hata sheikh alimwagiwa tindikali kwa agenda ile ile lakini uvumilivu na busara ndo majibu stahiki. Kumbuka hata september 11 Marekani wenyewe walikuwa watekelezaji wakuu ili kuishtua dunia ili kupenyeza agenda yao na walifanikiwa. Narudia tena, waliommwagia sheiikh tindikali, waliomjeruhi padri na walioua leo ni watu wenye agenda ileile ila wanaitekeleza kwa namna tofauti. Kumbuka hata madaktari wanapomwokoa mama anayejifungua kuna wakati wanakubaliana kumuua mtoto ili kuokoa maisha ya mama. Hii haimaanishi kuwa hawapendi mtoto aishi bali agenda kwa wakati huo ni kuokoa maisha ya mama. Kwa namna yoyote itakavyowekwa tusipokee upuuzi wa kusema tuiichie polisi. Sula ni busara na ukimya kama hakuna kilichotokea. Hilo ni jibu na adhabu tosha!!! There is something that looms behind the curtain. Someone must raise the curtain to see what is behind the scene. I dont buy the idea that this is just a normal criminology as some would want us to take it!!!
Sikuzote Mkuki kwa Nguruwe kwa Binadam Mchungu Jamaa hivi unaushahidi kuwa Waislam ndo Wamehusika ?
Je mbona walipouliwa Waislam Mwembe Chai mlikaa kimya?
Je mbona Sheikh alipomwagiwa tindikali mlikaa kimya?
Acheni kupotosha maana waache Police wafanye Uchunguzi ukweli utabainika
 
asante Yesu kwa kuniepusha kuoa muislam, maana ilikuwa almanusra!
hawa watu, wana matatizo sana,
 
Cdm ndo imepandikiza hii mbegu ya udini. Sasa imrmea, imekuwa, na haya ndo mavuno yake. Viongozi wao wanakaa kimya wanashindwa hata kukemea hili. Lakini wajue maji yaliyotulia yana kasi kubwa.
 
Huku bara wamchinja mchungaji kisa(ubugu) urafi wao wa kuchinja ng'ombe hii mijitu kero kweli
 
asante Yesu kwa kuniepusha kuoa muislam, maana ilikuwa almanusra!
hawa watu, wana matatizo sana,

Hongera kwa hilo labda nikupe kataarifa tu labda ulikuwa hukajui au unaogopa kukasema
Nchi inayoongoza kwa matukio ya Uhalifu ni Itali Vatcan ndo kinara
 
Hizi topic zinazohusu dini zilinisababishia BAN ya mwezi mzima hapa ngoja nikae kimya pamoja na hasira niliyonayo.
 
Sikuzote Mkuki kwa Nguruwe kwa Binadam Mchungu Jamaa hivi unaushahidi kuwa Waislam ndo Wamehusika ?
Je mbona walipouliwa Waislam Mwembe Chai mlikaa kimya?
Je mbona Sheikh alipomwagiwa tindikali mlikaa kimya?
Acheni kupotosha maana waache Police wafanye Uchunguzi ukweli utabainika

Kwa nini uchakachue? Kule Mwembe Chai, kulikuwa na vurugu, Polisi na wafuasi wa dini, kulikuwepo na siasa, lakini huyu Pd Evarist Mushi(sio Augustine kama Polisi na TBC walivyotangaza) ni mtu binafsi anatokea nyumbani kwenda kanisani, kama vile wewe ungetokea kwako kuelekea nyumba ya ibada, ana kosa gani? Lakini kwa nini wanajamii wengi wanahusisha dini ya kiislamu na mauaji haya? Sababu ni ndogo tu, kuna mkanda umekuwa ukizunguka kuelezea kulipiza kisasi kwa Sheik aliyeuawa huko Mombasa. Eti mapadri watano yawapasa wafe kwa ajili ya huyo Sheihk. Sheik hauawi na wala Padri hauawi. Sasa tunakwenda wapi?
 
Kama Israel wanalipa kisasi, kwa nini sisi wakristo tunasita?
Israel waKristu ni kidogo mno, wengi wao ni wayahudi au wanafuata Judaism, wao bado wanamsubiri nabii wa mwisho, hawakumkubali Yesu na hawakumkubali Muhammad. Wao wanaishi kimila zaidi, ukiwachokoza watakufanyia vibaya mno.
 
Mimi ni Mkristo safi na kamwe hatufundishwi kulipiza kisasi. Lakn kwa hali inavyoendelea nafkri kanisa sasa litatoa mwongozo kama watawala hawatachua hatua. Waislam si wa kuwachekea hata kidogo, wao wanajiona ndo wana haki ya kuishi na kila kitu. Siku tukiwageuka mtaona nchi chungu.
 
Ninamfahamu Padre Mushi...kabla ya kuwa Z'bar nafikiri alikuwa Nairobi!mpole na mwenye hekima!nimefanya nao kazi na mwenzake Padre Manfred Mjengwa aliyeongozana na vijana kwenda Hispania mwaka jana!huyu Mjengwa ni Padre kijana mwenye muono wa kisasa sana,muelewa na anayeweza kuishi mazingra yoyote!alijitolea kuwafundisha vijana bila kujali tofauti za dini zao!Vip Fr.Mjengwa bado yupo Zenji?usalama wake je?vipi mna undugu nae?

Ngaliba,
Ahsante sana. Padri Manfred Mjengwa ni mdogo wangu. Ni kweli alikuwa Zanzibar kwa kazi ya utumishi. Kwa sasa amehamishiwa Mbeya. Nimempigia simu asubuhi hii kumpa pole ya msiba huu.
Maggid
 
Kadinali Pengo toa tamko, waislamu wote wanaosoma kwenye vyuo vinavyomilikiwa na kanisa waondolewe wote, pia watoto wa kiislamu wote wanaosoma shule za kanisa wote waondolewe. Tumechoka kuwavumilia, tumechoka! hospitali zote za kanisa marufuku kutibiwa mwislamu, Baba askofu tumechoka, sasa tunatakiwa kuchukua hatua dhidi ya dhuruma hizi tunazofanyiwa, pia Baba askofu nawaomba msimshirikishe Rais kwenye shughuli za kanisa maana ndiye chanzo cha dhuruma hizi.
 
Una hakika kuwa waislam ni wahusika wa mauaji subirini jeshi lifanye uchunguzi wake ili kuwatia mkononi wauaji na si kuropoka tu kumbuka padri naye alikuwa binadam hatuwezi jua kilichojificha kuhusu mauaji haya.Watanzania acheni dhana
 
Ignourant tanzanians!!!! who has ever seen God you swear and die for?
 
mabingwa wa 'intelijensia ya polisi' wanashughulikia waliom'sms' makinda. Ofkoz wengine wapo mtwara kusaidia wataalam gesi kutinga dar. Hawana muda na intelijensia ya kuzuia uhalifu. What're early warning systems, security and peace
Udini ni ajenda ya CCM ambayo imevaliwa njuga na JKikwete japo wao wanachukulia kama silaha ya kisiasa lakini inaanza kuleta madhara makubwa taratibu.
 
Well said, naamini tatizo siyo waumini, upo uwekano hata aliyempiga risasi Padri Mushi asiwe Muislam, anaweza akawa hana dini ila anatumiwa na watu fulani kufikisha ujumbe wao na kukamilisha matakwa yao. Haiwezekani katika hali ya kawaida ndani ya muda mfupi tu mapadri wawili wapigwe risasi na hakuna kinachofanyika kuwabaini wahusika zaidi ya maneno na kuonyesha masikitiko bila hatua yoyote kuchukuliwa. Wahusika wanaendelea kutamba tu mitaani na kupanga kuendelea kufanya mauaji mengine. Inakuwaje ikiwa aliyekufa ni polisi watuhumiwa wanakamatwa, simu zilizotumika zinajulikana lakini ikitokea amefariki mtu mwingine, utasikia tunsikitishwa na mauaji haya, hakuna zaidi ya hapo. Kibaya zaidi na kwenye misiba tutaanza kugombania kuongea ili kutikmiza dhamira zetu. Believe it, hii hali inakaribia mwisho tutachinjana sana ndipo serikali iamke.
wakristo wategemee mengi zaidi, ikiwa watu wanaahidi na kutoa nyaraka zenye vithibitisho vya kuwashughulikia wakristo, na wakaendelea kutekeleza adhma zao bila measure zozote kutoka kwa watawala unategemea nini? tena mtawala anaposimaa na kuwatahadharisheni wote as if wote mna makosa, unategemea mwenye kosa hasa atakaa ajirekebishe? hata watoto wako ukishuhudia mmoja akimchokoza mwenzie, halafu wewe unawaambia wote acheni kuchokozana kaeni kwa amani, unategemea yule mchokozi ataacha uchokozi? never, kaeni sawa tu wakristo mkijua kabisa kuwa mko vitani. na viongozi wa kikristo ambao wangeweza tu kutahadharisha na kuongeleaa huko juu kuhusu hii hali ili solution ipatikane through level ya juu, wako hoi wamekamatwa ufahamu, hawajui hata wanachofikiria
 
Hakika, sote bila kujali tofauti zetu za kiimani, tuna lazima ya kuukemea uovu huu.

Tatizo namna mnavyojitahidi kubalansisha au kuplay 'neutral'. In short, muwaambie waislamu wenzenu mbulula kuwa ni ndoto kuisilimisha Tanzania! Mnaudhi sana. Msiongee habari za pande mbli za imani. Sisi hatuna haja na mawaidha yenu. Hata ukiona hapa wengi wa wakristu tunahimiza amani na kutolipiza kisasi. Kama angekuwa ni shehe ameuliwa ungeniambia nini kingekuwa kinaendelea. Inapokuja suala la dini, muislamu hata kama umesoma vipi unageuka mbulula...................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom