huyu padri akifa nae atatangazwa mtakatifu, pia kuna watu walikuwa wanaenda kwake kuungama, subiri huyo dada ahojiwe usikie atasema alianza kumegwa lini hapo ndo mtashangaa akisema ni mwaka wa 12 sasa toka aanze kumegwa na mtumishi.
enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye waroga?
enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye waroga?