Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,019
- 580
Maisha ni mzunguko mkuu. Hata mitindo ya nguo ya sasa ilishakuwapo sana, sasa inajirudia ntu kwa wale ambao hawakuiona enzi hizo. Watu ndio hubadilika lakini matukio yanajirudia sana kwa faida na wala sio kwa hasara. Hata mie sikuiona uliyoiona wewe. Thanks.