Padre anusurika kupigwa risasi Wilayani Kisarawe

Padre anusurika kupigwa risasi Wilayani Kisarawe

Ina maana wewe ndo ulimtuma huyo mwuaji? Utakufa wewe kabla huyo padre hajafa. Mbona unafurahia.kifo cha mtu? Kwani wewe unajua unaishi muda gani au utakufa kwa njia ipi? Mwombe Mungu akuondolee roho ya uuaji ndani mwako.

Sasa kuna shida gani wakati jumapili angefufuka.
 
Padre wilayani Kisarawe Mkoani Wa Pwani anusurika kupigwa risasi!!! Mwenye taarifa zaidi aweke hapa vinginevyo ntarud na data.


Update:

Mtu mmoja ambae bado hajafahamika aliingia kanisani na kukaa dawat la mbele ktk misa Ya Ijumaa Kuu ya leo ktk kanisa la Kisarawe Pwani.

Baada ya muda mtu huyo alitoka nje kuongea na cm wakati anaongea na cm kamati ya ulinzi ya kanisa ilihis kitu ikawa inamfuatilia ndipo mtu huyo akatoa bastola akiwa ana I seti wakamuwahi wakamkamata na kupiga cm police.

Baada ya polisi kufika wakampiga sachi wakamkuta na bastola yenye risasi tatu ndani na risasi nyingine nne mfukoni, wakaondoka nae kwa upelelez zaidi.
Ndo Tanzania anayotuachia Kikwete hiyo. Pili ijumaa Kuu hakuna MISA bali ni IBADA YA MATESO, misa ni kitu kingine tofauti kabisa!!!
 
Padre wilayani Kisarawe Mkoani Wa Pwani anusurika kupigwa risasi!!! Mwenye taarifa zaidi aweke hapa vinginevyo ntarud na data.


Update:

Mtu mmoja ambae bado hajafahamika aliingia kanisani na kukaa dawat la mbele ktk misa Ya Ijumaa Kuu ya leo ktk kanisa la Kisarawe Pwani.

Baada ya muda mtu huyo alitoka nje kuongea na cm wakati anaongea na cm kamati ya ulinzi ya kanisa ilihis kitu ikawa inamfuatilia ndipo mtu huyo akatoa bastola akiwa ana I seti wakamuwahi wakamkamata na kupiga cm p


risasi tatu?,sio ngwajima kweli huyo?
 
Inawezekana huyo padre amemlawiti na kumharibu makalio mtoto wa huyo jamaa maana mapadre wanasifika kwa shughuli hiyo huko makanisani...jamaa ndio kaenda kulipiza kisasi......Cc kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Shetani ni mama yako na baba yako,mbwa koko wewe,uislam unauingiza vp hapo?

Kwani kuna magaidi zaidi ya waislamu duniani? Ugaidi ni ushetani. Hivi hizi roho za kutokuwa na huruma na wanadamu wenzenu mnaipata wapi? Juzi hapa bukoba mumechoma makanisa hivi mnafaidika nini? Waislam Bwana wangu Yesu anawapenda sana mrudieni yeye ili dunia irudie amani ya kweli
 
Ni vyema mkajadili mambo ya msingi bila kuingiza dini wala dhehebu si vyema jamani .....
 
Back
Top Bottom