mbona waliomuua yesu hawakukutana na nguvu za yesu?
uislam ni ushetani sana!
Sasa kuna shida gani wakati jumapili angefufuka.
sasa na huyu angeuawa basi ili tetemeko litokeeWewe unafuata mkumbo tu huna unalofahamu chini ya jua, baada ya YESU kukata roho tetemeko kubwa sana lilitokea, na wale wayebusi wenzio wakatetemeka kinoma wakasema hakika huyu alikuwa mwana wa mungu then yuda akaenda kujinyonga na wengine kutubu na kuokoka. upo..!!
sasa na huyu angeuawa basi ili tetemeko litokee
Sio hana shabaha, amekutana na nguvu za"YESU" akili zikapotea akabaki anababaika..!!
Sasa kuna shida gani wakati jumapili angefufuka.
mbona waliomuua yesu hawakukutana na nguvu za yesu?
Ni vyema mkajadili mambo ya msingi bila kuingiza dini wala dhehebu si vyema jamani .....
hata uislam uko hivyo huwezi kuuelewa hadi uwe miongoni mwaoHujui imani ya Kikristo. Post ya namna hii ndiyo inadhihirisha umbumbumbu katika imani ya Kikristo. Yesu alijitoa mwenyewe ili atukombor wanadamu. It is not easy to understand Christianity until you are one of them.
uislam ni ushetani sana!
Nakuunga mkono kwa kuwa kila upande unakazana kutukana kile wasichokijua kwenye imani za wenzao.
Hata kama watu wanatukana wasichokijua tunachojiuliza zaidi hapa ni kuwa INAKUWAJE HII DINI IMEWEKA KIPAUMBELE UGAIDI NA UKATILI? Mfano mke kuchelewesha kikombe cha kahawa ndio aadhibiwe hivi?