Padre Aliyejiteka ana changamoto ya Afya ya akili

Padre Aliyejiteka ana changamoto ya Afya ya akili

hii haimaanishi kuwa waislam ni wanyoofu kuliko wengine, jamii nzima iko sawa, hakuna iliyo bora kuliko nyingine, makosa yapo kila dini na imani ulimwenguni, unaambiwa shetani yupo duniani anazungukazunguka apate wafuasi wake wa kufanya ushetani
Sijaaema waislam wamekamilika ndo maana kuna toba na nimesema wanaomba toba moja kwa moja wao na Mungu wao , na imekatazwa mtu kufanya dhambi kisha akasimulia kwa watu wengine juu ya maovu yake, anachotakiwa kukifanya ni kujutia na kuomba toba bas.
 
Unaelewa unachoandika lakini ? Èbay sio betting mkuu......online suoermarket chochote utakacho unaweza kununua kupitia wao....yeye sijui alifanyaje hadinakatapeliwa lakini ebay uhakika kupats utakacho
Sasa ebay na kutapeliwa wapi na wapi!? Mwamba itakuwa kapigwa na kanjibai
 
Sijaaema waislam wamekamilika ndo maana kuna toba na nimesema wanaomba toba moja kwa moja wao na Mungu wao , na imekatazwa mtu kufanya dhambi kisha akasimulia kwa watu wengine juu ya maovu yake, anachotakiwa kukifanya ni kujutia na kuomba toba bas.
sasa ndio ujue hiyo ndiyo imani ya kikatoliki kutubu/kuungama kwa padri na siyo imani kwa wakristo wote kwa ujumla
 
Ukienda kuungama huwa unaenda kwa nani kuomba msamaha kama siyo kwenda kumuomba msamaha padre aliejificha kwenye kabati?
Haya mambo unayafahamu vipi na wakati wewe ni Mvaa kobazi! Au huwa unayatuma majini yako kwenda kupeleleza?
 
Muislam anaomba toba kila siku moja kwa moja yeye na Mungu wake na siyo kwenda kumueleza sheikh ili amuombee kama ilivyo wakatoliki kwenda kuomba toba kwa padre
Sasa Muislam ukiomba toba kila siku moja kwa moja wewe na Mungu wako, na Wakatoliki waamua kumtumia Padre, shida iko wapi? Yaani wewe kama wewe unapata hasara gani?

Dini zenyewe zimeletwa na majahazi! Ila ndugu zetu mnavyo jishaua, mpaka inashangaza!
 
Sijaaema waislam wamekamilika ndo maana kuna toba na nimesema wanaomba toba moja kwa moja wao na Mungu wao , na imekatazwa mtu kufanya dhambi kisha akasimulia kwa watu wengine juu ya maovu yake, anachotakiwa kukifanya ni kujutia na kuomba toba bas.
Jambo la msingi ufahamu tu huo Uislam wako unaolingishia watu hapa, umezaliwa miaka zaidi ya 600 baada ya Ukatoliki kutamalaki duniani kote!

Na kama hufahamu, mafundisho mengi tu mliyowekewa kwenye Quran, chimbuko lake ni Biblia ya Wakatoliki hao hao unao wasimanga kila siku.
 
Hii ilikuwa imepangwa na wajinga fulani ionekane ni mtiririko wa watu kutekwa na sasa wameaanza kuteka viongozi wa dini
Inaonekana padri alichoka kukaa darini akavuruga mpango mzima, sasa wanakuja kujitetea....
 
Haya mambo unayafahamu vipi na wakati wewe ni Mvaa kobazi! Au huwa unayatuma majini yako kwenda kupeleleza?
Mimi nilikua mfuasi wa kristo ila nilivyoona natakiwa kwenda kuomba toba kwa padre aliejificha kwenye kabati badala ya Mungu ndo hapo nikaamua niachane kabisa na kuwa mfuasi wa kristo
 
Jambo la msingi ufahamu tu huo Uislam wako unaolingishia watu hapa, umezaliwa miaka zaidi ya 600 baada ya Ukatoliki kutamalaki duniani kote!

Na kama hufahamu, mafundisho mengi tu mliyowekewa kwenye Quran, chimbuko lake ni Biblia ya Wakatoliki hao hao unao wasimanga kila siku.
Nikusahihishe mkuu hizi dini zote mbili mafundisho yake wametoa kwenye vitabu vya wayahudi (mf zaburi na torati) kwa hiyo hakuna wa kumcheka mwenzie hapo.
 
ina maana waislam hawafanyi dhambi, ni watukufu? Sijawahi kuona muislam akiomba toba, anatubu
Nilichoandika kingine ulichouliza kingine..
Kama umeshindwa kutofautisha nilichoandika yanini kuendelea kujibizana nawe.
 
Back
Top Bottom