Padiri katekwa "novena" iko wapi?

Padiri katekwa "novena" iko wapi?

Asili yetu haikuwahi kutuangusha hata Kwa kulipa kisasi, ilifanya vyema Kwa shabaha mujarabu, asili yetu ni nguzo mhimu

tumerithishwa tuwarithishe
 
Hapa ndipo tuamini sasa hakuna cha novena,ukristo, albadili, uislam,Muhamad,Yesu,nk.

Waafrika wakati umefika tutafute suluhisho la kudumu la haya matukio hizo dini tumepigwa!!!
Hahahaa....we jamaa mbona unatunanga sasa?
 
Swadaktaaa

Imani sio Dini, ila Dini iko ndani ya Imani..
Jaribu kuwa muelewa, Kuna Imani nje ya Dini, ila hakuna Dini nje ya Imani.

Hivyoo yaan.
umemsikia mwenyekiti wa wachimba madini tanzania alichosema huko geita?
 
Back
Top Bottom