Woga tupa kulee
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,752
- 1,311
Dah!
Baada ya kuswekwa lupango kwa wiki kadhaa,hatimaye MzunguMndali nimerudi ndani ya nyumba!!!
Kwa kweli niliwamiss sana akina Madame B Nicas Mtei cacico Filipo Mungi nitonye Arushaone na wengine.
Dah,kuota ndoto sometimes ni soo!
Karibu sana MzunguMndali, umekamilika sasa nawe ni mjela jela mwenzangu............ mi nshaswekwa lupango mara nyingi sana mpaka nikakimbilia uhamishoni
Kupotea njia ndio kuijua! I hope umejifunza kuwa ndoto hubaki kitandani na siyo uende nayo mpaka kwenye keyboard. NIMEMALIZA.
Karibu sana MzunguMndali, umekamilika sasa nawe ni mjela jela mwenzangu............ mi nshaswekwa lupango mara nyingi sana mpaka nikakimbilia uhamishoni