Guru Guja
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 217
- 281
Mambo vipi masela na wazee wa kale? Mimi sio mgeni humu ndani. Nimekuwa nafuatiliaga sana nyuzi za watu mbalimbali, leo nimekuja kuwapa chagamoto na elimu juu ya mambo balibali ya maisha.
Kifupi mimi ni msomi wa chuo kikuu nina maisha yangu mazuri tu. Napenda kuwapa vijana elimu juu ya mambo mbalimbali ya maisha.
Hivyo ndugu zanguni mkae chonjo niwape mavitu ya ukweli.
Asanteni sana sana sana.
Asante uliyekerebisha Mugu akubariki kaka
Kifupi mimi ni msomi wa chuo kikuu nina maisha yangu mazuri tu. Napenda kuwapa vijana elimu juu ya mambo mbalimbali ya maisha.
Hivyo ndugu zanguni mkae chonjo niwape mavitu ya ukweli.
Asanteni sana sana sana.
Asante uliyekerebisha Mugu akubariki kaka