Dakika ya 52 hadi 56.
Anasema ujinga ujinga wa Muungano basi. Anajuwa Dada yake ni Zambarau mwenzake, japo Watanganyika hamujui maana na code lengueji iliopo mtu akikuvalia ushungi au flana ya Zambarau. Maana yake Zanzibar lazima irudi kuwa Taifa, sio nchi tu kama ilivyo sasa.
Analolisema kwa Zanzibar hilo hilo aliseme kwa Tanganyika. What goes around comes around.