donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,129
- Thread starter
- #41
Umepatiamwalimu nyerere
Umepatiamwalimu nyerere
Wakati hiyo bati hata soda tu hupatiRIP. ....Ngwea. ....
Sasa wewe una bati, usiku huu unaenda wapi?
We nabii nini umejuaje?Kitwanga...
Hongera.......(wa³)......imara...(wawawa)Kassim Majaliwaa.
Hahaha, kanda ya ziwa is actually my origin huko naenda kirohoHahahaaaahaaha.
Basi mkuu chukua mtwara kwenye gesi uwe bilionea., au nikupe kanda mkuu, chukua kanda ya ziwa mkuu, kanda inayotiririka maziwa na asali.
Vipi kuhusu hizo mkuu??.
Naongezea basi na karumeHaifai
Haihitaji hata unabii kujua...macho tu yanadhihirish!!We nabii nini umejuaje?
NaaamHaihitaji hata unabii kujua...macho tu yanadhihirish!!
A.k.a ChanchoUmepata mkuu, huyu ni bwana Che Guevara akiwa na umri wa miaka 22 mnamo mwaka 1951
Dr ernesto "che" guevaraBora niende kijiji cha bunduki wilaya ya mvomero
Hongeraa......imaraaa.....waaaaaDr ernesto "che" guevara
YesA.k.a Chancho