Osama kuiongoza mashariki ya kati

Osama kuiongoza mashariki ya kati

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
10,509
Reaction score
16,734
Vurugu za mabadiliko yanayoendelea mashariki ya kati yanampa nafasi kubwa kiongozi wa waislamu sheikh Osama bin Laden kuchukua madaraka huko mashariki ya kati hivi karibuni.
Tunisia kiongozi wa waislamu sheikh Rashid Alghanouch amerejea nchini kufuatia kupinduliwa kwa kipenzi cha nchi za Magharibi ,dikteta Ben Ali.Kule Misri chama cha Muslim Brotherhood mpaka sasa kimeweza kuwafungua magerezani wanachama wake wote waliokuwa wameshikiliwa na dikteta Mubarak.Lebanon chama cha Hizbullah ndicho kinachoendesha serikali.
Yemen na kwengineko wako mbioni kuondosha vibaraka wa nchi za magharibi.Tunasubiri utawala mpya wa sheikh Osama.:clap2:
 
Hakuna kitu kama hicho,madikteta wote watakaong'olewa madaraka yatachukuliwa na chaguo la peoples power! Hakuna cha osama wala babuyake osama,kwanza osama mwenyewe alishakufa miaka 2 iliyopita huko mapangoni kandahar.
 
Mubarak aende na hatumtaki Elbaradei,kibaraka mwengine wa USA

 
Vurugu za mabadiliko yanayoendelea mashariki ya kati yanampa nafasi kubwa kiongozi wa waislamu sheikh Osama bin Laden kuchukua madaraka huko mashariki ya kati hivi karibuni.
Tunisia kiongozi wa waislamu sheikh Rashid Alghanouch amerejea nchini kufuatia kupinduliwa kwa kipenzi cha nchi za Magharibi ,dikteta Ben Ali.Kule Misri chama cha Muslim Brotherhood mpaka sasa kimeweza kuwafungua magerezani wanachama wake wote waliokuwa wameshikiliwa na dikteta Mubarak.Lebanon chama cha Hizbullah ndicho kinachoendesha serikali.
Yemen na kwengineko wako mbioni kuondosha vibaraka wa nchi za magharibi.Tunasubiri utawala mpya wa sheikh Osama.:clap2:

hapo kwenye red, ni kiongozi wa al-qaeida au waislamu?
 
Duh kumbe waislam ndio waliofanya kufuru 9/11. Mpaka leo hii nilikuwa natetea kuwa waislam si magaidi, Lakini umenipa ufafanuzi.
 
Vurugu za mabadiliko yanayoendelea mashariki ya kati yanampa nafasi kubwa kiongozi wa waislamu sheikh Osama bin Laden kuchukua madaraka huko mashariki ya kati hivi karibuni.
Tunisia kiongozi wa waislamu sheikh Rashid Alghanouch amerejea nchini kufuatia kupinduliwa kwa kipenzi cha nchi za Magharibi ,dikteta Ben Ali.Kule Misri chama cha Muslim Brotherhood mpaka sasa kimeweza kuwafungua magerezani wanachama wake wote waliokuwa wameshikiliwa na dikteta Mubarak.Lebanon chama cha Hizbullah ndicho kinachoendesha serikali.
Yemen na kwengineko wako mbioni kuondosha vibaraka wa nchi za magharibi.Tunasubiri utawala mpya wa sheikh Osama.:clap2:

Mkuu mimi sio Muislamu lakini hapo kwenye RED naona unawadhalilisha Waislamu tafadhali futa hiyo kauli!
 
Back
Top Bottom