sizya007
JF-Expert Member
- Sep 9, 2013
- 416
- 210
Mmarekani ana maigizo mengi tu haya kwenda mwezini miaka ya 60 alipiga picha area 51 kule Nevada desert akaiaminisha duniya kuwa amekanyaga mwezini yote hii ni kutafuta hegemonysm waliosoma ir watanielewa.
Watu wa JF ni hulka yao kubishia lolote lile! Hata wasilolijua, ili mradi tu mtu naye aonekane yumo....
Nadhani wengi hawatakuelewa bro kutokana na kautamaduni ka kupenda kubishia kila jambo.
Kuna mambo mengi sana America ameidanganya hii dunia na watu wameuamini uongo wake.
Haya ni baadhi ya mambo ambayi america ameudanganya ulimwengu.
1. Kutua mwezini (kipindi cha vita baridi kati ya US na Russia) mchezo woote huu umefanyiwa Area 51( kambi ya kijeshi inayolindwa zaidi ulimwenguni.
2. WTC booming, hii ilikuwa ni inside job ambayo ilitengenezwa vizuuuri na ma-economic assassins wakishirikiana na CIA/FBI.
3. Kuaminisha dunia kama A. Hitler ndiye the most blutal dictator ever lived, na kumuacha mshirika wake wa wakati huo J. Stalin, hii waliifanya kwa kushirikiana na washirika wao wakuu uingereza.
Na list zaidi ingia kwenye vitabu na journal mbalimbali, investigation journals. Propaganda hizi wanazieneza intelligently mpaka mtu anazikubali pasipokujua kuwa yuko katika mkondo usio sahihi