Osama bin Laden yupo hai, ukweli ndio huu

Osama bin Laden yupo hai, ukweli ndio huu

Nasikia kumbe Osama ndiyo yule Obama. Wakichokufanya ni kumbadirisha uarabu wake na kumuwekea uafrika na uzungu kwa mbaaali, wakaumba umba historia feki na kumpa urais wa merikani kama shukrani kwake .
Nakingine walichokifanya ni kuondoa S kwenye Osama na kuweka B kwenye Obama
Hahah
 
Waislamu kwa kujifariji mko juu, yaani Osama kaliwa na samaki Siku nyingi, nyie bado mnajitutumua eti mzima ebu kuweni na aibu, hivi mnaweza kumleta hadharani huyo Osama na kuudhihirishia ulimwengu kuwa yu hai?,evi mnapata faida gani kwa uwepo wake ama kutokuwepo kwake,? Tatizo lenu mnaamini kuwa ghaidi hawezi kamatwa ama kuuwawa.
We nawe unaakil kama za kuku
 
Hiyo article unauhakika nayo kwa kiasi gani maana hata mimi naweza kutengeneza uzushi nikauweka kwenye net nikasema ya Obama.

Geoge bush aliingia iraq kwa sababu 2..
1.kuidhoofisha iraq ili achukue mafuta ,na kukontroo soko lake kikoloni

2.kuitawala (neo colonialism) kama zinavotawaliwa nchi kama tz, kenya nk..

3.kupunguza kiburi cha waarabu kutokana na kumiliki bidhaa adhim ya mafuta,ili waache kutegemea mafuta na badala yake wawategeemee wao..

So sio swala la kupigana na uislam hapo ni mambo ya kiuchumi
Andka bac na ww ya kwako
 
Ujinga ni kuamini matukio makubwa yanayotokea duniani eti hayajapangwa nlishasema na nasema tena uislam lzm uonekane ni ugaidi ili new world order ichukue nfs na wa kufanya hivo ni viongozi wao wenyewe wakishirikiana na marekani na Pope(kubwa LA maadui) kuanzia sadam hadi Osama hkn cha gaidi wa nn wl kifo ni mchezo tu wa kuvunja dola zote za Kiislam ila mambo ya timie Leo hii ukiuliza ugaidi chanzo chake ni nn utaambiwa ni uislam hs na wakristo si kweli kuna siri kubwa sana za dunia hii huwezi zijua km huna nature ya kusoma soma, hii ni revenge ya crusade war baina ya Pope na uislam, Pope ikiwa km cheo endelevu chenye majukumu flan endelevu ever since
 
Back
Top Bottom