yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,526
- 1,410
Mwenye picha za maiti ya Osama bin laden atuwekee hapa
Anza kutoa ya 2pac kwanza,..ukishindwa waka ya michael jackson, ukifeli hapo tuwekee ya witney houston
Mwenye picha za maiti ya Osama bin laden atuwekee hapa
Baada ya mda mrefu alitoa wimbo ukiitwa rest in Peace Big ndo maana wakasema uenda hakufa!maana wimbo wote unaeleza jinsi alivyouwawa.Kuna kipindi kulikuwa kuna uvumi kuwa 2pac yuko hai kwamba mwaka 2000 angejitokeza,so endelea na huo uvumi mwingine mpya
Kwani hata Daud Balali mbona wanasema yupo kwanini mshangae Osama maana hakuna video iliyoonyeshwa anakata roho pili wanaweza kuumtu mwingine wakaweka sanamu lake likamwagiwa damu nakuambiwa kauwawa wakati hajafa na kwanini wamfiche katika maziko wangemfanya kama Sadamu Hussein navyo wajua wamarekani kwa kutaka sifa akyanani wasingemzika na jiwe baharini niuongo mtupu!.
Mkuu osama alikuwa na wake zake siku ya tukio,hawajauwawa na wako huru,angekuwa hajafa wangesema
Nilisha edit mbona; Osama amekufa ingia you tube tafuta decumentary za bbc kuhusu tukio zima utaona mipango ilivyoanza tangia ilivyobainika alipo, mpango mzima wa CIA kuingia Pakistan na kuondoka kwa nusu saa kabla jeshi alijawafikia maana awakutaka kuwataarifu kwa sababu zao ki intelegensia.
Wala sio hadithi live images za camera za jeshi ndio zimetumiwa kutengeneza documentary, ushuhuda wa majirani pamoja na serikari ya Pakistan.
Kama hii habari ni ya kweli nitafurahi sana,naombea iwe hivyo
Mkuu kama walimchukua watajuaje mkuu wanaweza wakamzima wakadai amekufa wewe unacheza na wamarekani
Mimi manzese wewe Marekani na bado kuna watu huko wanasema ajafa wewe ulikutana na mke wake akakwambia kuwa nimewaona wanammiminia risasi?au basi na wewe ulipata google youtube na documentary za BBC??pevuka usiwaamini wamarekani kupitiliza hata cinema unaona ni matukio ya kweli??Hizo labda ni zako ww, wife anaakili timamu, mazingira yaliopo wao walishuudia ,us wanasema walimmiminia vyombo akafa palepale,inamana wife walishuudia na ndo mana hawa_ crush hizo taarifa...ww ulieko manzese ndo unasema yuko hai...hizi stori muwe mnatafuta ukweli bila kuwa na maamuzi vichwani mwenu
kwa uandishi huu jamaa kweli anaezakuwa yupo hai anadunda na maCIA wenziwe.
unaakili kama za googleDocumentary nayozungumzia ina images taken from the physical ground na wahusika wenyewe niamini mimi Osama is dead huyo ka google tu na mwandishi ajampa ushahidi wowote ya kuwa Osama yuko hai zaidi ya kubandika post online.
Mimi manzese wewe Marekani na bado kuna watu huko wanasema ajafa wewe ulikutana na mke wake akakwambia kuwa nimewaona wanammiminia risasi?au basi na wewe ulipata google youtube na documentary za BBC??pevuka usiwaamini wamarekani kupitiliza hata cinema unaona ni matukio ya kweli??
Sio Osama tu, Ghadaffi yupo hai, Sokoine yupo hai, Dr Ouko yupo hai na hata Tupac yupo hai pia, ujinga ni maamuzi tu yako binafsi ukiamuwa kujiweka kwenye kundi la wajinga na mazuzu wala haina gharama.
A disclaimer on their site reads as follows - WNDR assumes all responsibility for the satirical nature of its articles and for the fictional nature of their content. All characters appearing in the articles in this website ? even those based on real people ? are entirely fictional and any resemblance between them and any persons, living, dead, or undead is purely a miracle.
Hahahaaaa, unaongelea movie, tena iliyotengenezwa na wamarekani wenyewe
Osama bin Laden is dead and buried. That is it. People can say anything for any purpose but truth is objective and will not depend on any one's wishes or desires. The truth is Osama is dead.
Osama kashakufa hadi siku anakamatwa kuna baadhi ya channel moja kwenye dstv walionyesha na watoto wake wenyew wamekiri kwamba baba amekufa pamoja na mkewe