Hatugombani
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,096
- 685
Unachosema ni kweli,mwaka Jana nilisafiri nalo,wakasimamisha gari kama saa 5 wakashuka wenyewe kwenda kunywa chai bila kuwatarifu abiria.
Aisee hii kali...k
sie watanzania ni watu wapole sana mwarabu angeshatoa jambia
wangewapiga wangegoma kuendesha gariiKwani hao wafanyakazi ni wangapi ?na nyinyi abiria ni wangapi mpaka mnashindwa kuwapa kichapo ?
CTU...mmmh nyie mnaUpole gani?!!!!? kweli mnatusaajabisha Sana !!!!k
sie watanzania ni watu wapole sana mwarabu angeshatoa jambia
Sisi wapole sana ati... asikwambie mtuCTU...mmmh nyie mnaUpole gani?!!!!? kweli mnatusaajabisha Sana !!!!
Kweli mkuu wametuonea sana ndo maana nikaleta uzi hapa ili kukemea huu unyanyasajiKwa kweli wangewapasua vibofu vya haja ndogo maana kuna mji kidogo mingi kutoka Kahama -Singida mgeweza kujisaidia. Kuna kagongwa,Isaka,Tinde,Nzega,Nziba,Ibologelo, Igunga &Sheluwi kabla ya kupandisha Sekenke.
Umefanya vyema Mkuu lengo ni kurekebisha tabia za hao watu wasiojali biashara za watuNimecopy na kutuma ujumbe wa kwa Jafari nina hakika ataufanyia kazi. Jamaa ni mtu mstaarabu sana sema ndio ivyo unawekeza pesa nyingi unaajir mtu asiye na uchungu na pesa zako anakuharibia biashara.
Duc in Altum
Fa Fe Fi Fo Fu
Vibofu..
Hahahaaa! Nimejisikia kucheka sana but sory mkuu
Naona povu linakutoka kama dereva wa gari vileBahati mbaya sana mtoa mada umetoa habari yako kwa ushabiki zaidi kuliko kuleta mada ili iweze kusaidia wasafiri;
1. Nilitegemea ungeweka namba za gari husika; maana ubaya wa Osaka Raha moja siyo ubaya wa Osaka Raha jingine
2. Umelalamika kutokupata fursa ya kuchimba dawa Kahama - Singida;je, magari mengine ya route hiyo hiyo kama OTTA, Murro, Mohamed, RS, Falcon yenyewe yalisimama njiani abiria wake wakachimba dawa?
3. Magari ya Mwanza - Dar huchimba dawa Shinyanga na dawa nyingine huchimba pale Singida; halafu Dodoma huku mbelembele hadi UBT; sasa Kahama - Singida tu imekuwa shida wakati gari linaenda kwa ratiba?
4. Pole hawakukuoa stakabadhi ya mzigo; ila mabasi karibu yote hutoa stakabadhi ya excess mzigo.
Hata hivyo Jafari, Hamza, Shahibu wamekusikia.
NB - Ujifunze kutokulakula na kunywakunywa unapokuwa kwenye safari ndefu.