Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,074
- 43,531
mbona nchi kama us wanatumia windows tena za kizamani outdated kama win xp. wanafanya kuwalipa microsoft wawape support yao baada ya kusitishwa ya watu wote
Why the U.S. Navy Is Paying Microsoft Millions for Windows XP
china wao wana windows red, special version ya windows ambayo ina security kubwa na source code serikali ya china wanayo.
sijafanya utafiti ila sitashangaa kama 98% au zaidi ya majeshi yote duniani kuwa yanatumia windows xp.
na os unaweza kuihandle ukaeka hiki na kile ukajua kama watu wanakuchunguza ama la, kama kweli unataka security unatakiwa uanze kwenye hardware kwanza, kama umeekewa hdd au cpu halafu inakuchunguza unaweza ukakaa miaka na miaka usijue ndio maana nchi kubwa nyingi kama china na urusi wanahakikisha hardware zinatoka kwao.
Why the U.S. Navy Is Paying Microsoft Millions for Windows XP
china wao wana windows red, special version ya windows ambayo ina security kubwa na source code serikali ya china wanayo.
sijafanya utafiti ila sitashangaa kama 98% au zaidi ya majeshi yote duniani kuwa yanatumia windows xp.
na os unaweza kuihandle ukaeka hiki na kile ukajua kama watu wanakuchunguza ama la, kama kweli unataka security unatakiwa uanze kwenye hardware kwanza, kama umeekewa hdd au cpu halafu inakuchunguza unaweza ukakaa miaka na miaka usijue ndio maana nchi kubwa nyingi kama china na urusi wanahakikisha hardware zinatoka kwao.